Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
API
Home
How To Use
Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
Home
Detail
@bakedexp: I was emotionally attached to this Keith Haring design but its time for an update 🥲 #bakedexp #cakedecorating #frankencake #CheetosReaperReactions #caketok #baketok #cakedecorator #yesiseethelizard
Janel
Open In TikTok:
Region: US
Sunday 19 June 2022 03:18:50 GMT
3253
248
8
0
Music
Download
No Watermark .mp4 (
5.42MB
)
No Watermark(HD) .mp4 (
1.76MB
)
Watermark .mp4 (
0MB
)
Music .mp3
Comments
🖤 :
the garbage. let the cake rest its over a year old
2022-06-20 20:14:52
6
Rhia Darling :
Something like the starry night!?😍
2022-06-20 23:55:34
2
Oluwatife cakes-ogijo/itaoulwo :
Is it buttercream or fondant?
2022-07-20 07:20:34
0
To see more videos from user @bakedexp, please go to the Tikwm homepage.
Other Videos
Dép lê quai chéo, khâu xuyên đế, dép lê mix khoá cài#deplenam#depdanam#thoitrang #xuhuong #khosidepxinh
Replying to @susuvitasoy [BEST 20 JANNABI SONGS] 2. Jannabi - for lovers who hesitate (2019). The most iconic song of jannabi. The song itself is just very powerful. #kpopfyp #jannabi #forloverswhohesitate
CRRT doesn’t have to feel overwhelming. You just haven’t had it explained the right way yet. I’m breaking it down step-by-step for ICU nurses who want to actually get it—not just survive it. Follow for the full series ❤️ #icunurselife #crrt #nurseeducation #criticalcare #newnurse
Walking with faith, trusting His path #fyp #batucaves #murugan #trending #2026
Legit Barley 3 in 1 contains glutathione and collagen 😊Only 99 peso today ✔✔✔ #FITGUM #barley #barleygrass #powder #barleygrasspowder #glutathione #collagen #legit #bakuna #bakunastore #drink #fyp #trending #viral #tiktok #bestseller #philipines #philippinestiktok
1️⃣ Biashara siyo safari ya kupata pesa za haraka. Ni safari ya kuvumilia siku ambazo hakuna mauzo, siku ambazo unahisi umechoka, na siku ambazo unajiuliza kama kweli umefanya uamuzi sahihi. Wengi huanza kwa hamasa kubwa, lakini huacha mapema sana kabla matokeo hayajaanza kuonekana. 2️⃣ Mauzo ndiyo pumzi ya biashara. Unaweza kuwa na bidhaa nzuri, ofisi nzuri, hata mtaji mkubwa, lakini kama hakuna wateja wanaonunua kila siku, biashara inaanza kufa taratibu. Biashara haiishi kwa ndoto, inaishi kwa mauzo ya kweli. 3️⃣ Mtaji peke yake haujengi utajiri. Kuna watu wanaanza na pesa nyingi lakini biashara zao zinakufa kwa sababu hawana maarifa, hawana nidhamu, na hawajui kusikiliza shida za wateja. Biashara kubwa hujengwa na mtu anayejua kutatua matatizo ya watu, si mtu mwenye pesa tu. 4️⃣ Pesa nyingi hupotea si kwa sababu biashara haileti faida, bali kwa sababu mmiliki anachanganya pesa za biashara na matumizi yake binafsi. Leo anatoa kwa matumizi ya nyumbani, kesho anatoa kwa starehe, mwisho wa mwezi anashangaa pesa zimeenda wapi. Ukikosa nidhamu ya fedha, biashara yako itakua kwa nje lakini ndani inaoza. 5️⃣ Wateja hawanunui bidhaa tu, wanunua hisia, uaminifu na namna unavyowatendea. Mteja akihisi unamjali, unamsikiliza na unamheshimu, atarudi tena hata kama kuna sehemu nyingine bei ni ndogo. Watu hukumbuka jinsi ulivyowafanya wajisikie kuliko bei uliyoandika kwenye bidhaa. 6️⃣ Kila biashara ina siku zake ngumu. Kuna wakati mauzo yatashuka, wateja watakukataa, utapata hasara, na utahisi kama umechoka kabisa. Hapo ndipo wengi hukata tamaa. Lakini ukweli ni kwamba changamoto si ishara ya kushindwa, ni sehemu ya kujengwa. Biashara yoyote yenye maana hupitia maumivu kabla ya kukua. 7️⃣ Ukiacha kujifunza, biashara yako itabaki pale pale au itashuka. Dunia ya leo inabadilika kwa kasi sana. Leo wateja wako mtandaoni, kesho wanataka huduma ya haraka, kesho kutwa wanataka uzoefu bora zaidi. Mmiliki wa biashara lazima ajifunze masoko, uongozi, teknolojia na namna ya kubadilika kabla hajachelewa. 8️⃣ Siri kubwa kuliko zote ni hii… biashara haijengwi na msukumo wa siku moja, inajengwa na consistency. Kile unachofanya kila siku, hata kama ni kidogo, ndicho kinachokuza biashara yako. Kuwa na nidhamu ya kuamka, kuuza, kujifunza, kuhudumia na kuendelea hata pale ambapo hakuna anayekushangilia. Usiingie kwenye biashara kwa sababu unaona wengine wanafanikiwa. Ingia kwenye biashara ukiwa tayari kuvumilia, kujifunza, kupoteza mara nyingine, na bado kusimama tena. Biashara ni kwa watu wanaojenga thamani kwa wengine na wako tayari kulipa gharama ya mafanikio. Kama Unataka kuanza biashara kwa mtaji mdogo wa kuanzia sh. 1,000,000/- mpaka 2M Nitumie Ujumbe wenye neno BIASHARA kwenda whatsap number +255756133313 Share ujumbe huu kwa kijana mwenzako ili na yeye ajifunze #tiktok #viral #trending #trendingvideo #trendingreels
About
Robot
API
Legal
Privacy Policy