doctor mimi mbona natumia lakini haini saidii tatizo liko wapi
2023-04-30 13:31:45
13
Qimamyofficial :
Haichubuw hiy kaka
2023-04-29 12:09:19
8
World Class :
side effects??
2023-04-29 09:51:37
6
Valentina :
nimeteseka sana na skin care za gharama jmn lkn nimekuja kuponea na tube ya 4000 kutoka pharmacy haichubui unaglow inatoa chunusi zote benzol peroxide ipewe heshima yake kiukweli
2026-06-13 14:58:13
2
fettraja _tz :
kiukwel me imenisaidia🥰🥰 na naendelea kuitumia thanks
2023-04-29 09:08:23
10
🚭 :
naomb daw y kuingia period 🙏
2023-05-12 07:42:28
5
sona :
hii dawa kibok mm nnayanne leo kutumia lkn kaus kanaglow na kanatelez htr ingw bd vile vi dack sport havijaanz kutok
2023-05-12 20:39:05
7
amina mshangmaa :
doctor Daw ya kunenepesha mwil 🤔🤔
2023-04-29 21:44:20
7
ounie00 :
4000
2023-04-29 10:17:28
2
Ruu♐️ :
No nzuri kweli mimi natumia na inafanya kazi kama asemavyo 🥰
2023-04-29 10:50:31
1
Suu💙🧕🏾🇹🇿 :
Doctor ulisema tutumie na sabuni ipi?
2023-04-30 16:18:37
2
Benah :
hiyo tube ni nzuri sana nmeanza kutumia nikiwa form2 yaan unakuwa soft na haichubui wala nn
2023-05-16 10:39:12
5
Rahma Ramadhan585 :
je Kwa USO mkavu haifai?
2023-04-29 08:35:34
1
prisca nziku :
inauzwa duka la dawa au last vipodozi
2023-05-19 10:53:35
2
Tinashe :
Imenisaidia sanaaa🙏
2023-04-30 19:09:04
2
bertha :
naomb nifundishe ya kuongeza shepu
2023-05-11 17:45:23
1
Vanilla 😋 :
Nakupenda bure daktar wetu
2026-03-19 09:50:45
1
yusra kamaru dini :
mbona nikiacha kupaka zinarudi
2026-01-02 18:35:00
1
janeth_dea :
nishaipata kumbe bei rahis ngoja nitumie✊
2023-05-10 18:21:58
1
evah :
vp kuhus persol 5 gel yenyew inatofautiana nn na hii ya 2.5
2023-05-06 11:01:23
3
officialjeniloh♥🫦 :
me nimetumia siku moja nilivyowashwa sasa nikaiacha apoapo🥺🥺
2025-05-22 18:37:01
1
Nono stores :
Dawa ya melasma doctor please
2023-05-02 16:26:34
3
anniebeauty44 :
Nimeuliza swal sijajibiwa Mbona mm nimepaka hii dawa imenizidishia vipele 😥
2023-05-05 17:10:08
4
Asma Ali Mohamed :
nishanunua na nimeanza kutumia
2023-05-02 08:39:13
2
To see more videos from user @ounie00, please go to the Tikwm
homepage.