@dar24media: Mwanamuziki Chid Benz yupo kwenye STORY & RHYMES ya Dar24 Media Kipindi kamili kinapatikana kwenye YouTube channel ya Dar24 Media Vipindi vya STORY & RHYMES pia vimeanza kuruka kupitia Star TV kila siku ya Alhamisi saa 11:30 hadi saa 12:00 jioni na marudio ni kila Jumapili saa 5:00 hadi 5:30 asubuhi
Dar24Media
Region: TZ
Tuesday 04 July 2023 10:53:37 GMT
Music
Download
Comments
jomari a.k.a(Dope) :
napenda Sana huyu jama
2023-07-05 19:17:49
0
zachariamichael1 :
kwl madawa ya kulevy sio chai daah kichwa kishaharik hiki
2023-07-06 08:30:32
0
Joe_Bary :
Mimi sijamuelewa 😂😂😂😂
2023-07-06 10:15:55
0
Henrysami :
Sijuhi bongo movie kwa nini hawamuoni Chid Benz. Siku nikipata nafasi nitakaa na Chid Benz na ana stories nzuri mno.
2023-07-08 04:56:36
0
duladula5805 :
Nilivyo mfahm kua Chid ni Mtu wa watu.
2023-07-13 09:33:21
0
chameleone3 :
😁 chid benz
2023-07-04 20:22:31
0
Ally mkwepu :
really life
2023-07-05 06:51:54
0
Morris Hillary mlay :
chumaaaa
2023-07-07 07:00:33
0
MajidyO26 :
🙃sela
2023-07-07 12:55:55
0
Henrysami :
Mimi naamini msanii Mmoja wa maigizo akikaa na Chid Benz anaweza pata mafanikio mno na akamuinua tena Chid Benz.
2023-07-08 04:57:39
0
Henrysami :
Chid amepitia mengi na anapitia mengi mno kwa sasa. Watu wa aina hii uwa wana stories nzuri mno.
2023-07-08 04:58:21
0
user9253037533904 :
yiiiiiaaaaaaa.... h
2023-07-13 20:47:54
0
V e r s Star_ :
ivi una elewa lakini vitu anavyo ongea chidi
2023-07-16 03:54:59
0
To see more videos from user @dar24media, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.