@focustvtz: D Voice ambaye ni Msanii Mpya WCB aliwahi kufunguka akisema kuwa Wasanii wengi wa Singeli hawajasoma kwamba wengi wameishia darasa la tatu, la nne, la saba na form two .... Ambapo alijitaja yeye kuwa ndiye msanii pekee wa Singeli aliyesoma kuliko wasanii wote wa Singeli Tanzania. Alipoulizwa ameishia level gani ya Elimu.... D Voice alisema kuwa yeye kaishia kidato cha Tano. 😎🖐 Video hii ni ya Mwaka 2022 kutoka katika kipindi cha Refresh Wasafi TV. 📷 : @wasafitv #focusdigitotv