@mafolebaraka: Tanzania @tia_tanzania kuzungumza na wanafunzi namna gani wanaweza kutumia mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali kujiingizia kipato. Hii ni mara yangu ya pili natembelea chuo hiki, Binafsi nimevutiwa na Mwitiko mkubwa wa wanafunzi wao. Kitu kikubwa nilichokipenda ni uwepo wa mkuu wa chuo hiko kwenye tukio hili ambapo kwenye hotuba yake nilivutiwa zaidi na namna alivyo tayari kusapoti vipaji pamoja ya program za kuwajengea uwezo wa kujiajiri na kuajirika kwa wanafunzi wa chuo hiko.