@masph_523: Dinning chair make up chair accent chair office chair #dinningchairs #officechair #computerchair #accentchair

MASPH
MASPH
Open In TikTok:
Region: PH
Wednesday 20 December 2023 10:45:27 GMT
3197
30
6
38

Music

Download

Comments

shytlife_hell
☘︎ᴍʀ.Oʟᴀғ㋛︎ :
hello po . pa update sana kung still ok pa ba ang quality nya.. plan to purchase po
2026-05-08 05:23:35
1
supernognog
CrazyMe :
napaka sosyal ang dating Ganda po ng dinning chair nyo
2024-01-24 00:43:20
0
masph_523
MASPH :
@mariagracia0123 ito mii😊
2024-08-15 01:47:58
0
karbonara_ig
wfhfurmom :
Mii pa update if okay quality, planning to buy po.
2024-10-15 07:36:51
0
markmethuselah
࣪˖ ִ𐙚 𝓓𝓪𝔂𝓪𝓷𝓪𝓱𓍢ִ໋ 𖹭 :
🥰🥰🥰
2024-11-24 11:13:02
0
To see more videos from user @masph_523, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Naomba nirekebishe jambo moja muhimu. Kwa bahati mbaya, hoja unayoizungumza leo ni hoja ambayo uliianza tangu mwanzo. Hata sasa unajaribu kuonyesha kana kwamba mjadala ulianza baada ya Simba kupost clip husika. Hapana. Post yako ya kwanza haikulenga Simba. Haikulenga aliyesambaza mahojiano. Ilienda moja kwa moja kwangu kama mwandishi wa habari na kwenye taaluma yangu. Ulisema mwandishi amepewa nafasi ya kumuhoji Rio Ferdinand halafu akauliza maswali yasiyostahili. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Mimi ni mwandishi wa habari. Kazi yangu ni kuhoji. Leo nikiwa XXL ninaweza nikamhoji Harmonize. Nikamuuliza maswali mbalimbali kulingana na muktadha wa mahojiano. Baada ya hapo, timu ya Harmonize inaweza kuamua kuchukua kipande cha mahojiano na kukipost. Huo ni uamuzi wao. Lakini kama kuna mtu hataridhishwa na swali nililouliza, jambo la kwanza anatakiwa kulijadili ni swali lenyewe au muktadha wake, si kumshambulia mwandishi aliyekuwa anafanya kazi yake. Ndiyo maana nashangaa kuona lawama zikielekezwa kwa mtu aliyekuwa kazini, kwenye assignment yake, akitumia dakika chache alizopewa kuuliza maswali mbalimbali kwa mgeni wa kimataifa. Nilipata nafasi ya kumuhoji Rio Ferdinand kwa dakika chache tu. Ndani ya muda huo tulizungumzia mada nyingi tofauti; soka, burudani, matukio ya wakati huo na masuala yanayowagusa vijana. Huo ndio ulikuwa mwelekeo wa mahojiano yote. Ukosoaji ni jambo la kawaida. Lakini ukosoaji unapohama kutoka kwenye hoja na kuhamia kwa mtu binafsi na taaluma yake, hapo tunakuwa hatuzungumzi tena kuhusu interview. Tunakuwa tunazungumzia mtu. Mimi nitaendelea kufanya kazi yangu. Nitaendelea kuhoji. Hiyo ndiyo taaluma niliyoichagua, na hiyo ndiyo wajibu wangu kwa hadhira ninayoitumikia. #trend #10empireTv #tanzani #millardayo #video
Naomba nirekebishe jambo moja muhimu. Kwa bahati mbaya, hoja unayoizungumza leo ni hoja ambayo uliianza tangu mwanzo. Hata sasa unajaribu kuonyesha kana kwamba mjadala ulianza baada ya Simba kupost clip husika. Hapana. Post yako ya kwanza haikulenga Simba. Haikulenga aliyesambaza mahojiano. Ilienda moja kwa moja kwangu kama mwandishi wa habari na kwenye taaluma yangu. Ulisema mwandishi amepewa nafasi ya kumuhoji Rio Ferdinand halafu akauliza maswali yasiyostahili. Hiyo ndiyo ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Mimi ni mwandishi wa habari. Kazi yangu ni kuhoji. Leo nikiwa XXL ninaweza nikamhoji Harmonize. Nikamuuliza maswali mbalimbali kulingana na muktadha wa mahojiano. Baada ya hapo, timu ya Harmonize inaweza kuamua kuchukua kipande cha mahojiano na kukipost. Huo ni uamuzi wao. Lakini kama kuna mtu hataridhishwa na swali nililouliza, jambo la kwanza anatakiwa kulijadili ni swali lenyewe au muktadha wake, si kumshambulia mwandishi aliyekuwa anafanya kazi yake. Ndiyo maana nashangaa kuona lawama zikielekezwa kwa mtu aliyekuwa kazini, kwenye assignment yake, akitumia dakika chache alizopewa kuuliza maswali mbalimbali kwa mgeni wa kimataifa. Nilipata nafasi ya kumuhoji Rio Ferdinand kwa dakika chache tu. Ndani ya muda huo tulizungumzia mada nyingi tofauti; soka, burudani, matukio ya wakati huo na masuala yanayowagusa vijana. Huo ndio ulikuwa mwelekeo wa mahojiano yote. Ukosoaji ni jambo la kawaida. Lakini ukosoaji unapohama kutoka kwenye hoja na kuhamia kwa mtu binafsi na taaluma yake, hapo tunakuwa hatuzungumzi tena kuhusu interview. Tunakuwa tunazungumzia mtu. Mimi nitaendelea kufanya kazi yangu. Nitaendelea kuhoji. Hiyo ndiyo taaluma niliyoichagua, na hiyo ndiyo wajibu wangu kwa hadhira ninayoitumikia. #trend #10empireTv #tanzani #millardayo #video

About