@nhacobaby: Tômg đơ cắt tóc cho bé tiện quá các mom ạ🥰 #nuoiconkhoahoc #nuoicondungcach #mevabe #nhacobaby

Nhà có Baby
Nhà có Baby
Open In TikTok:
Region: VN
Friday 29 December 2023 03:11:09 GMT
9846
44
5
11

Music

Download

Comments

nongthihaii
N.T.Hải❤️ :
Muốn mua ạ
2024-01-12 01:19:06
0
2155663731
shop ăn vặt bảo anh :
xin giá ạ
2024-01-09 08:01:23
0
lqunh281
QUỲNH Lighting Phủ lý :
Xin giá mua ntn
2024-01-09 05:58:27
0
ynmoon4
ynmoon4 :
xin giá ạ
2024-01-10 01:00:40
0
subeo18062023
ngọc hân 89 :
bao nhiu vậy c??
2024-01-09 01:38:24
0
To see more videos from user @nhacobaby, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

​🛑 ZIJUE TOFAUTI ZA IP NA ANALOG CAMERA: USITESEKE TENA 🛑 ​Usiingie gharama ya kufunga kamera bila kuelewa unacholipia. Hizi hapa ni tofauti za msingi za vifaa unavyopaswa kuzijua: ​1️⃣ MEMORY (STORAGE) ​ANALOG: Inategemea Hard Disk iliyo ndani ya DVR pekee. DVR ikibiwa au kuharibika, ushahidi wote umepotea. ​IP CAMERA: Inatumia NVR, lakini kila kamera ina uwezo wa kuwekwa SD Card ndani yake kama backup. Pia inaweza kurusha picha moja kwa moja kwenye Cloud (Internet). ​2️⃣ WAYA (CABLING) ​ANALOG: Inatumia Coaxial Cable (RG59). Ni waya mzito unaosafirisha picha pekee, hivyo unahitaji waya mwingine wa ziada wa umeme. ​IP CAMERA: Inatumia Network Cable (Cat6). Waya mmoja mwembamba unabeba kila kitu: Picha, Sauti, na Umeme kwa pamoja. ​3️⃣ CONNECTION: POWER PIN VS RJ45 ​ANALOG: Inatumia Power Pin (DC Jack) na BNC. Joint hizi zikipata unyevu au zikilegea kidogo, picha inaanza chenga, kukatika, au kuonekana na mistari. ​IP CAMERA: Inatumia RJ45 Connector. Hii ni connection imara ya kidijitali; haileti chenga wala muingiliano wa mawimbi, picha inabaki kuwa safi wakati wote. ​4️⃣ POWER SOURCE: POWER SUPPLY VS POE ​ANALOG: Inahitaji Power Supply Box. Kila kamera lazima ivutiwe waya wa umeme (Live & Neutral) kutoka kwenye box kuu mpaka ilipo kamera. Joint ni nyingi na hatari ya shoti ni kubwa. ​IP CAMERA: Inatumia PoE Switch (Power over Ethernet). Hakuna haja ya waya za umeme wala box la power supply. Umeme unapita ndani ya ule ule waya wa RJ45 (Cat6). Salama na kisasa zaidi. ​5️⃣ RECORDER: DVR VS NVR ​ANALOG: Inatumia DVR. DVR ndio inachakata picha zote; ikilemewa, mfumo mzima unalegalega na picha zinapoteza ubora. ​IP CAMERA: Inatumia NVR. Kila kamera ina processor yake (
​🛑 ZIJUE TOFAUTI ZA IP NA ANALOG CAMERA: USITESEKE TENA 🛑 ​Usiingie gharama ya kufunga kamera bila kuelewa unacholipia. Hizi hapa ni tofauti za msingi za vifaa unavyopaswa kuzijua: ​1️⃣ MEMORY (STORAGE) ​ANALOG: Inategemea Hard Disk iliyo ndani ya DVR pekee. DVR ikibiwa au kuharibika, ushahidi wote umepotea. ​IP CAMERA: Inatumia NVR, lakini kila kamera ina uwezo wa kuwekwa SD Card ndani yake kama backup. Pia inaweza kurusha picha moja kwa moja kwenye Cloud (Internet). ​2️⃣ WAYA (CABLING) ​ANALOG: Inatumia Coaxial Cable (RG59). Ni waya mzito unaosafirisha picha pekee, hivyo unahitaji waya mwingine wa ziada wa umeme. ​IP CAMERA: Inatumia Network Cable (Cat6). Waya mmoja mwembamba unabeba kila kitu: Picha, Sauti, na Umeme kwa pamoja. ​3️⃣ CONNECTION: POWER PIN VS RJ45 ​ANALOG: Inatumia Power Pin (DC Jack) na BNC. Joint hizi zikipata unyevu au zikilegea kidogo, picha inaanza chenga, kukatika, au kuonekana na mistari. ​IP CAMERA: Inatumia RJ45 Connector. Hii ni connection imara ya kidijitali; haileti chenga wala muingiliano wa mawimbi, picha inabaki kuwa safi wakati wote. ​4️⃣ POWER SOURCE: POWER SUPPLY VS POE ​ANALOG: Inahitaji Power Supply Box. Kila kamera lazima ivutiwe waya wa umeme (Live & Neutral) kutoka kwenye box kuu mpaka ilipo kamera. Joint ni nyingi na hatari ya shoti ni kubwa. ​IP CAMERA: Inatumia PoE Switch (Power over Ethernet). Hakuna haja ya waya za umeme wala box la power supply. Umeme unapita ndani ya ule ule waya wa RJ45 (Cat6). Salama na kisasa zaidi. ​5️⃣ RECORDER: DVR VS NVR ​ANALOG: Inatumia DVR. DVR ndio inachakata picha zote; ikilemewa, mfumo mzima unalegalega na picha zinapoteza ubora. ​IP CAMERA: Inatumia NVR. Kila kamera ina processor yake ("akili") ya kuchakata picha, NVR kazi yake ni kuhifadhi tu video iliyokamilika. ​6️⃣ AINA ZA CAMERA ​ANALOG: Kamera nyingi ni "bubu". Ili upate sauti lazima ununue Mic ya nje na uvute waya mwingine wa ziada mpaka kwenye DVR. ​IP CAMERA: Ni Smart Cameras. Karibu zote zina Built-in Mic na Spika. Unaweza kusikia na kuongea na mtu aliyeko kwenye kamera bila kuongeza waya wowote. ​7️⃣ GHARAMA (COST) ​ANALOG: Vifaa ni rahisi kununua, lakini teknolojia yake ni ya kizamani na ina ukomo wa picha (Standard Resolution). ​IP CAMERA: Vifaa vina gharama mwanzoni, lakini unapata teknolojia ya kisasa, picha angavu ya 4K, na mfumo imara usiosumbua kila siku. ​💡 Ushauri wa Smart Security Tz: Usifunge mapambo, weka usalama. Chagua IP Camera kwa ajili ya ushahidi usio na mashaka. ​📞 WhatsApp Call: 0787885373 --Usalama Wako, Kipaumbele Chetu--

About