waraka pia wa viogozi mseme mbona polisi huyu hanyoki?
2024-03-05 17:03:06
0
Mpinga_aL Capone :
Tanzania hii hakuna mwenye ubavu wa kuligusa STK,STL,STM,DFP na mengine specifically nyie ASKARI wa USALAMA barabarani...yakivunja Sheria hua yanapita mbele zenu Kam hamzioni, acheni uongo huo.
2024-03-05 19:42:17
0
noobSaibot :
hapo kwny magar ya polisi fafanua ni yale yeny namba PT au hata private car ya police???
2024-03-05 20:29:18
0
City Observer :
Judge na UT vipi
2024-03-06 07:24:41
0
Gideon shija :
hata gari la porisi ni gari la serikali acha ushamba
2024-03-15 18:23:00
0
Ally Df :
sasa sheria watafuataje wakati munawachekea
munawaona live wakivunja sheria lakin hamuwakamati
2024-03-27 06:47:38
0
Smg Aspen :
pili fatilia traffic alioko barabara ya ukingia singida mjini yupo na gar leus anajigamba sana na kuthumu ajipa kifua sana
2024-02-13 13:13:53
0
ALVIN J.J 🗽 :
umeona gari ime over speed simamisha gari apigiwe boss wa gari aje dereva mwingine ,dereva alie over speed apelekwe sehemu apumzike
2024-02-13 11:19:37
0
abdulrasul :
ni kweli wanafujo sana hawaheshimu sheria
2024-02-13 11:23:53
0
abdulrasul :
ni aibu kubwa magari ya srekali yanaongoza kwa kuvunja sheria wao wanatakiwa kuwa mfano bora barabarani
2024-02-13 11:27:59
0
solomonkingu :
ni kweli kabisa wapo rafu sana
2024-02-13 11:59:08
0
deniswilson299 :
Bola mtangazaji umemlekebisha eti madereva wa serikali!!!! ubaguzi huu
2024-02-13 12:20:26
0
Balozi Lyimo :
Sawa tatizo ni lini hatua zitaanza kuchukuliwa?!!!!
2024-02-13 12:25:54
0
moudykisengo :
tena uakikishe huo usemi we trafic,,,mana hawa madereva sijui ni vichaa kidogo wakiwa barabaran
2024-02-13 12:30:46
0
jr64nyambo1 :
good sms
2024-02-13 12:31:44
0
Kimbwela_01.com :
huelew kitu ww et magari ya polis zima moto naagar ya jesh jeshi ni nn poois ni nn hovyooo
2024-02-13 12:46:04
0
Kimbwela_01.com :
afu anae kupa mshahara ww ndio anae mlipa.uyo dereva msijion kama nyie kila kitu hovyoo
2024-02-13 12:47:24
0
Smg Aspen :
hilo kweli kabisa ambulance and zima moto niukwekikabisa barabara ya kigoma kasulu wanaendesha gar vibaya awajali ata beria wanatharau beria
2024-02-13 13:11:37
0
kahigi :
SM.STK.STM.DFPA.Is typing.......
2024-02-14 05:30:33
0
sadam iss1 :
kabisa kaka leo sema hapo nipo sambamba nawewe kabisa tena ajar nyingi zinasababiswa na hao watu afande leo nimependa kwakuwa umeona hawa watu
2024-02-13 13:28:02
0
user498516046 :
WAACHENI WAFE NA WAWE VILEMA KWA HASARA YA FAMILIA ZAO
2024-02-13 13:41:04
0
Mudrick :
tatizo siyo dereva na hayo magari vyombo vingi vya usalama wanatumia ata police wenyewe wanatumia namba hizo.
2024-02-13 15:35:34
0
Gody adventure :
lakini weee atakugonga kwakua yuko na stk
2024-02-13 16:20:51
0
Enos mchomvu :
Mm leo nimeshuhudia polisi Akipita na pikipik kwenye zebra na gar zimesimama nusu agonge watoto wa shule
2024-02-13 16:25:01
0
Suluba :
Ata gari za police, zimamoto zote hizo ni gari za serikali
2024-02-13 17:58:31
0
user2993510260071 :
aaaah ni kweli lakini serikali Kwa ujumla inafanya kazi Kwa dharula
2024-02-13 18:37:53
0
To see more videos from user @kisamo_tv2, please go to the Tikwm
homepage.