@lilyanapika: Hizi Barafu/aiskrimu unaweza ziuza na wateja wako watazifurahia sana. Kitabu cha kujifunza Kutengeneza Aiskrimu za Biashara Nyumbani bila Mashine bado kipo kwenye bei ya OFA mpaka tarehe 31/03 Hardcopy ni sh 35,000/- soft copy ni tsh 25,000/- NB: Tafadhali kabla hujalipia kitabu wasiliana nami kwanza 0718553999 Mahitaji Maziwa ya maji nusu Lita Maji Lita 1 Unga wa ngano vijiko 2 vya kulia chakula Sukari vijiko 8 vya kulia chakula Ladha ya vanilla vijiko 2 vidogo vya chai Ingredients Milk 1/2 litre Water 1 litre All purposes flour 2 tbsp (you can use corn flour) Sugar 8 tbsp Vanilla flavor 1/2 tbsp #tanzaniatiktok #tanzaniantiktok🇹🇿 #🇹🇿fatherland #kenyantiktok🇰🇪 #mapishi #zaikijiwenongwa😂😂😂😂 #vichekeshotanzania ##daressalaam🇹🇿 #fyp #🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥

Lilyanapika
Lilyanapika
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 17 March 2024 16:08:04 GMT
207744
3144
116
1023

Music

Download

Comments

debicocs
mighty debby :
hujatuambia ngano ni kiasi gani na sukari
2024-04-17 20:15:31
12
chotarawakigogo
Chotara wa kigogo812 :
kama hizi naweza kuuzaje?
2026-06-30 15:33:56
1
user8191778012063
user8191778012063 :
how can l ger the papers niko Kenya
2025-05-04 10:28:41
3
dorcas.lyego
Dorcas Lyego :
ahsante kipenzi rangi hizi zinapatikana kwenye maduka gani
2026-05-14 11:30:39
0
monica.masaba
Monica masaba :
Naomba no zako
2025-05-20 07:19:21
0
babyankr
Flora :
Ladha ni zipi best ni special kwa ice cream tu au ni gani izo sorry
2025-10-21 21:53:53
2
luludully1
luludully1 :
mfanonwa kipimo iko unatoa ice cream ngapi?
2024-04-13 14:14:06
3
mumtazathey8
mumtaz Athey :
uñga unatumia gani
2025-05-02 18:33:07
0
user4702162777241
user4702162777241 :
help me with the recipe in English
2025-04-01 05:30:37
0
elizabethmwendi
Betsy❤️ :
Je naweza tumia maziwa fresh ya asas Yale ya pakti?
2024-03-17 19:34:32
5
erengrachiel
erengrachiel :
hisi karatasi inapatikana wapi na inaitwa aje
2025-01-31 07:29:12
1
zenah126
Jordinlee :
Samahan, hyo radha inaitwaje? ndo ile vanila? Naomba unielekeze tafadhali
2025-10-22 11:37:54
1
makeduli
munaaa :
kilainishi ni lazima ama optional
2024-05-21 02:03:35
0
faah_modest_closet
Faah_modest_closet :
Ngano??kwenye ice cream???
2026-03-07 14:11:01
1
evemimo3
Queeneva😌 :
Mambo aunty hizi nylon nazipata wapi niko nairobi
2025-06-05 11:36:49
0
mirrymirry111
mirrymirry1 :
naweza tumia maziwa ya unga?
2025-05-18 17:51:20
0
juliana.mathias820
Juliana Mathias :
yaani nimejaribu acha nitamuje laini mimi uwa natengeneza yaubuyu to sasa nimepata nahii nimeweza 🙏barikiwa sana mungu atakupa zaidi dear
2025-04-07 08:07:26
0
adija955
user6284453762239 :
naweza kutumia maziwa yaunga
2025-04-24 04:42:55
1
mediatricemanga
Mediatrice Manga :
mrci beaucoup tukufundisha
2024-04-15 18:53:43
1
mombasani86
Mombasani :
ngano kiasi gani na sukari je
2024-04-20 19:27:13
2
frola.msafiri
frola msafiri :
nakupenda dada
2024-04-12 20:25:30
1
fideritamulwa
ma💕Lyn :
unga ngano unaeka kiasi gani
2026-03-11 10:19:00
0
zawadi.kishabongo
ZAWADI KISHABONGO Lydia :
asante
2026-06-17 09:56:25
0
mayatz54
MAYA :
Samahn ngano unawek kulingn na ujazo kwa sisi tunao fny biashar et km lit 20
2026-08-03 10:47:11
0
user9534758461187
aish.said :
Good. joɓ
2024-05-30 15:27:49
0
To see more videos from user @lilyanapika, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About