@masjidmaamurrtv: #Aqiqa nimuhim sana

MasjidmaamurTv
MasjidmaamurTv
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 18 March 2024 19:26:41 GMT
250732
9180
224
2667

Music

Download

Comments

zambakar4
Zay❤️ :
Mbona kwny kuvunja mifupa sijaelewa, hiyo nyama itapikwaje bila kuvunja mifupa, naomba ufafanuzi kdg
2024-03-26 13:05:53
6
vanilla_660
HYAT :
part 2 pls
2024-03-19 10:10:47
5
salama.x1
user2580914911062 :
Mashallah swag
2024-03-26 18:28:02
4
offroad045
Leon :
💯
2024-03-19 02:19:29
1
kichala
kichala :
😂😂😂
2024-03-19 11:05:45
0
ndagofarm
Ibrahim Ally :
🥰🥰🥰
2024-03-24 16:41:05
0
shenaz_manji12
shenaz manji :
🥰🥰🥰
2024-03-23 23:07:04
0
sadamshaniz
Sadam_Shaniz :
🔥🔥🔥
2024-03-19 05:47:17
0
ummuamin01
Eshabukheth🥰🥰💖 :
😂😂😂😂😂
2024-03-18 21:49:30
0
omaryadammjema
Omary Mjema :
🙏
2024-03-23 18:39:20
0
sheriebb
chriebb2 :
chekhe kma mtu amesha komaa amekuwa hajafanyiwa khakika anaweza jifanyiziya mwenyewe😅?
2024-03-27 14:54:33
2
mamaelh
mamaElham :
Asalaam alykum warahmatulah. naomba kuuliza maswali 1.je kwa mtoto ambae ha jafanyiwa Akika kuna uwezekano wa kumfanyia Akika baadae ( mtoto ana miaka 4).
2024-03-24 17:44:08
3
leilahsheikh
Leilah Sheikh :
ikiwa umesahau kumfanyia akiwa mtoto mchanga je yafaa kumfanyia Aqiqah mtoto akishafikia mkubwa ? mathalan miaka minne ,kumi nk?
2024-03-21 19:46:53
2
m.mikidadi
Mohammed Mikidadi :
Tusaidie hiyo Hadith inayosema usivunje mifupa please
2024-03-21 11:09:31
1
shrinebby
shrinebby :
Asalaam Alaykum,Je Mama na Baba wanaruhusiwa kula sadaqa hiyo ya Aqiqa pamoja na Mtoto mwenyewe???
2024-04-12 09:06:29
0
monarhussein
Monar Hussein :
shekhe swali langu kama huna ndoa yaan mtoto siyo wa ndoa unaweza kumfanyia aqiqaa
2024-04-01 13:56:05
0
leiwiz
user1117978575397 :
je waeza mfanyia mtoto akiwa amepitisha umri yani kwanzia 10 kwenda juu?
2024-03-23 12:08:55
1
ruksanaaa
ruksanaaa :
Je akika ni lazima au ni sunnah
2024-03-19 19:13:48
0
mama.mpambanaji.og
Maryam issa :
mwisho w kumfanyia mtt hakika ni umri gani
2024-03-19 11:11:48
0
ummu_ibrahim09
Mrs. :
isipovunjwa mifupa yake itagawa vipi?
2024-03-19 19:25:26
1
sofie.de.first
sofie de first :
Asalm alykm warhmatullah wabarkatuh....Sasa Ile Aqiqah lazma afanyiwe na siku Saba , na je kama mzazi hakuwa na uwezo anaweza fanyiwa kama ana umri wa miaka mitano
2024-03-20 22:50:30
0
aidmansan20
Aidman San :
assalamu alaikum ikiwa hawafanyiwa ndani izo siku 7 inakua sahihi muda gani kupita au tayari kashanyolewa nywele ni sahihi ten kumfanyia iv ilihali nywele zilishanyolewa kabla
2024-03-20 10:22:03
0
jefwa212
boss kubwa :
Waeza kumfanyia mtoto akiwa ana umri wa miaka 7 kuendelea ama lazima awe mchanga
2024-03-20 00:45:40
0
azizahussayn
azizahussayn :
je kama sijamfanyia akiwa mdogo akiwa mkubwa inafaa ama
2024-03-19 10:14:02
0
To see more videos from user @masjidmaamurrtv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About