Yani amemanisha kuwa Allah nae angelikuwa nae anakufa Nani angelitupa riziki 😭subhana Allah imenigusa
2024-03-22 17:20:42
10
Issa Binghaz :
kam kuna shekh tanzania hamjui shekh mohamed labd kazaliw ulaya #mwalimu wa mufti tamta
2024-03-22 20:21:16
7
yusufnoor729 :
babu chunga ulimi wako Allah ni mwenye uhai wa milele
2024-03-21 21:45:41
5
habiby :
hayo maneno ni yamafumbo mawahabi hawajayaelewa.
2024-03-22 05:13:49
8
sulesh :
na umeutumikia uislam sheikh wengine ni mashekh wa TikTok tuuu😅😂😂 na radi mvua haznyesh
2024-03-22 10:31:01
4
Yahya Ahmad :
ukitaka kujua ma wahbi fahamu zao ndogo basi watazame kwenye lugha kama hii hawawezi kuolewa kabisa utawasikia subhana'llah Allah....🤣😂😂😅
2024-03-24 17:17:52
5
Ahmad A...🪶 :
naomba unieleweshe umemaanisha nini ..?.siezi kucoment kabla sijaelewa ulichomaanisha..😌
2024-03-28 18:32:57
1
aboud saleh :
sufiii hiliii mungu amsamehe madhambi yke
2024-05-22 15:26:02
0
The Machine TZ 🇹🇿 :
kageuza maneno yesu sio Mungu kwa maana Mungu hafi na ndio maana akasema atabakia kuwa muislam
2024-03-22 06:30:40
4
Mu Sulemani :
Hayo maneno kama ujasoma balagha uwez kuelewa
2024-03-24 07:14:36
5
abuu hudhayfa932 :
ngoja niwafahamishe haya maneno kipind hicho mashekhe walikuwa wakikimbia tanzania kufundisha maisha magumu shekh aligoma na kubaki tanzania
2024-05-30 19:36:44
7
abby :
Watoto wa juzijuzi ndio hawaelewewi hayo maneno.
2024-03-23 15:49:00
3
Being_Rachma🦋 :
kuna watu wao wanasikiliza kujibu hawatafakari. hawatoelewa wataanza kutukana hunu .. mtawaona
2024-03-24 07:02:40
4
Sawda Saidi :
hayo maneno aloyasema kama hujui maana bora ata nyamaza mwana zuoni mkubwa huyu kuieneza dini ya Allah mpaka sasa anatajwa kwa wema sheikhe wetu Allah akupe Pepo ya fridaus twajivunia Tanga
2024-03-23 21:55:13
4
umm Aqsa :
vemaa ukasikilizaa mtu hadi mwisho na ikiwa hujaelewa hekma ni kukaaa kimya tuachee mihemko jmn mbon mzee wa watu kaeelezaa vizuri tu
2024-06-16 17:46:10
1
Titus Geza :
kuna watu ufahamu wao kisoda...haya maneno ni kwa wenye akili
2024-05-30 19:20:54
2
akhy :
katumia mantiq kwa asiye elewa ni bora kuuliza kuliko kuropoka mashaallah shekhe letu Allah amrahamu
2024-03-25 08:22:36
2
abuu hudhayfa932 :
hivyo akasema atapat huzuni kusikia mungu akifa lakin kam hafi basi yy ndo mtoa rizk haondok tanzania kuwaacha wanafunzi wake