me nakula healthy ila mume dooh hatak kuelewa..na wanaume mnapokufa mapema...wanawake tunawah kuelewa kuhus afya zetu
2024-03-25 10:32:20
1
ideo49 :
achaujinga atawew utakufatu ataule majani kamambuzi anaepanga sikuzakuishi ni mungu pekee achatu tule tukifa atujuituendako peponi niapa apa duniani
2024-06-15 18:46:59
0
user83180419461220 :
tunakula tunachopata,tulia dokta😂
2024-05-13 14:22:32
2
fettyboss😍😍 :
Tule nini jamani? Bas tusile sasa
2024-03-23 20:07:30
2
femalegymtrainer💙❣️ :
mmmh wanakula kongoro huko nje 🤣🤣🤣
2024-03-25 07:37:19
2
user6716869745131 :
ila mume wangu hana,yeye anapenda sana kuangalia afya yake,lkn kuzaliwa ni siku moja kufa siku moja mm na mchele hatuachani 🤣🤣🤣
2024-05-22 13:11:26
1
Brey -Tonny :
Kitambi si kibaya
2024-06-09 08:22:05
0
Qitabu_wa_Sunna :
nasema natak kula this and this
2024-06-05 07:30:38
0
user6716869745131 :
mbona unanizungumzia daktari 😭😭mimi bila soda na chocolate kwa fridge sina amani ila mume wangu hawazi ata kuonja ,naona ndio maana mm niko na kitam
2024-05-22 13:09:59
0
SHARIF HODARI 🇰🇪🇹🇿🇺🇬🇧🇮 :
RAFIKI YANGU KULA KULINGANA NA UWEZO WAKO HAKUNA ANAEJUA KESHO
2024-04-02 07:24:37
0
TWIZASTORE🇿🇲🇹🇿🇿🇲🇹🇿 :
Wengine wanakongoloka kinoma acha uongo 😂😂😂
2024-03-25 21:18:27
0
FURNITURE & ELECTRONIC 2024 :
🛏Magodoro chapchap sisi ni wataalamu wa magodoro Tanzania.
📝Tunatoa ushauri wa godoro Bora kulingana na mahitaji yako.
😢Wengi wameteseka kwa kununua gogoro bila kupewa ushauri wa kitaalamu.
🏃🏿
2024-03-25 20:03:20
0
shishi :
🤣🤣🤣🤣
2024-04-02 03:20:42
1
tibakiboko0 :
🔥💪💪💪
2024-05-17 16:32:40
0
hubba melodies :
@zulpha cikanda
2024-04-12 15:07:57
0
focusSankara :
uko mkwel chief, this is true
nowadays nakataa kula wali roast at night, my wife alikasirika at first but later on she understood my intention and now tupo kwa same page
2024-05-14 13:16:01
1
AM~Coder :
But madaktari mnajua tunapofeli.... watu wanakula kutokana na walivyozoeshwa, toeni elimu madarasani huko...jamii haijui ile nini baada ya kuzoeshwa kula isiyokubalika.
2024-05-27 04:20:44
0
user6716869745131 :
lakini wapo wanao angalia sana afya yao kwa kukula vyakula venye afya lkn wanakufa mapema,
2024-05-22 13:14:24
0
CBM. :
madaktari wengi wanavyoongea as if wao hawana matatizo hapana sio kweli. ukisikiliza jmaa anavyoongea as it yeye hatapatamagonjwa
2024-03-30 15:07:26
0
Dr kuducy MCT/ Nacte officer :
habar, kwa kada zote za afya najaza CPD point na kuapload , nafanya application za leseni , avn , transcript na delivery from MCT no 0625639679
2024-06-14 13:09:56
0
Ibrahim :
nina Type 1 diabeatic sijaowa
2024-04-10 12:15:03
0
To see more videos from user @drboazmkumbomd, please go to the Tikwm
homepage.