unaamka saa 11 giza kufanyaje kama siyo uchawi huo🤣
2024-04-26 13:13:55
4
Habakuki Nyanda :
Tatizo siyo kulala boss changamoto ni kwamba vijana wengi hawana mitaji na ajira hawana na mtaani pagumu sasa kijana aamumke saa 11 afajili anaenda wapi tafteni namna ya kuwasaidia siyo hayo maneno
2024-04-02 10:04:31
3
kimaro110 :
amka hata saa kumi usiku broo kama akili ya mafanikio ni huna tuu
2024-04-21 20:29:08
0
LILANY GREENPRO :
sema kabisa maana kufanikiwa si sawa na kuota ,lazima juhudi binafsi zihusike
2025-05-05 21:02:26
0
👑CHAGA GOLD👑 :
wai kulala sio umaskin
2024-04-17 13:21:13
0
scott.. :
sahihi. bro vijana tuamke
2026-06-12 09:45:54
0
ZETIORA AI E-COMMERCE :
Fact...Tunapenda kuona vijana wakijenga biashara zao mapema KARIBU ZETIORA AI E-COMMERCE Tuweke Biashara Kidigitali
2026-05-18 17:24:57
0
@missmimah2 :
Bwana sio kila mafanikio ni lazima uteseke msituchoshe 😄@Ruujayna2 njoo uku shogaangu 😂😂😂🙌
2024-04-13 23:51:25
4
Mwanjas Jr :
❤
2025-09-15 14:31:16
0
george zaga :
nimepata 180k naweza anzisha biashara gani na ninasoma chuo
2024-04-01 04:36:26
2
Bphonesstore_ :
Sasa kaka Kama huna kazi unafanya nn huna mtaji 😂😂😂
2024-04-13 10:35:29
2
TWIZAOUTFIT :
Maisha hayana formula aise 😫😫 Kuna anae lala mpka sa 7 na bado anatoboa
2024-04-06 12:34:18
1
Jackson Franc :
KUNA BODA BODA HAWALALI...NA HAWANA PESA..
BT KUNA MBUNGE ANALALA HADI SAA 3 ASUBUHI NA PESA INAINGIA
2024-06-09 06:53:11
1
ESMAAH❤️ :
😂😂😂as usilale kwann
2024-04-12 04:47:15
1
Hamza khalifa💎 :
huwezi kosa kazi unapo amka asubuhi ...we anza sasa. utaona
2024-11-05 11:46:08
0
CharmingBaddie🇹🇿 :
Nimecheka km mazuri🥺mim mwenznu naamk saa saba mchan na sishtuk kbs😩😩🤣🤣🤣
2024-06-04 22:37:31
0
vibe.boy8 :
hela xn na kulala nxhidwe kwer😁
2024-06-08 19:41:45
0
lazuuuh wanamaaah :
nakubal kak
2024-06-10 07:15:45
0
mr Joseph :
sasa mtu una kazi unawai kuamka uende wapi isee
2024-06-10 19:23:07
0
swidick yasini :
kama huna michong
2024-06-11 15:31:02
0
I_AM_YUSTO :
🥰🥰🥰
2024-06-22 15:18:30
0
makamba25 :
swala lakulala haliingilian na uchumi kila mtu anajuwa anategaje hela zake kwa mda gan pia mtu anatengeneza hela zake saa10 jion
2024-06-23 03:54:38
0
makamba25 :
na kunawatu wanaamka saa10 alfajr lkn hawawafikii watu wanaoenda kaz saa10 alasiri co kila mtu nampango yake
2024-06-23 03:55:28
0
Betyina :
na ambao biashara zetu tunaanaza kuandaa saa 4 asubuh wateja wetu sanasan ni jion adi saa 4 usiku tuamke saan ngap?
2024-06-27 06:47:17
0
Ms.BINNA_255🇹🇿 :
Na kuota anaota eti😁😁😁
2024-05-21 13:25:50
0
bajoma :
ndy kk
2025-04-23 20:09:49
0
💥💫lizlove💥💫 :
😂
2025-06-14 07:43:34
0
electrician :
mafanikio ni mipango ya mtu binafsi
2025-06-14 10:34:56
0
A Z I Z Y🍍 :
kama formula ya utaftaji yang inanilusu kulala had saa 3 nifanyaje sasa niamke niende wapi???
2024-04-17 16:11:58
0
Jacob :
apo umenisema kabsa kaka dah
2024-04-02 07:03:06
0
🇩🇪 💓🇩🇪 :
naamka mapema naenda wapi surely kama kazi hazipo🤣🤣
2024-04-04 16:10:13
0
Peter leonard :
hujui maisha wewe pointless
2024-04-07 08:11:04
0
user3122787692350 :
je wanaofanya kazi usiku kama walinzi mchana awatakiwi kulala, nauliza?🤣
2024-04-07 18:53:20
0
masuodissa36 :
unakwenda wapiiii
2024-04-11 07:32:20
0
Anold Charles :
Je kama kazi yako inafaa kufunguliwa saa2
2024-04-15 18:02:46
0
rehemaoisso :
mh
2024-04-16 13:16:05
0
mkuu :
fact
2024-06-03 16:55:37
0
Catherine Cyrili :
kumbe kuamka saa 1 ni kuchelewa
2024-04-28 08:45:28
0
Lusajo Abia :
huyo anatafuta ugali tu😂😂😂
2024-05-01 22:44:39
0
Cathy mass :
helow. naomba kujoin kwa. group. lako
2024-05-03 15:01:46
0
Baba_nino666 :
mimi kaziyangu n kuanzia saa6 xaxa niamke saa12 nikafany nn nnje
2024-05-06 07:25:30
0
mf9/6 :
Network marketing kwa njia nyingine hii.. beware guyyss😭
2024-05-23 19:41:12
0
@Emmanuel :
tushaamka hadi saa kumi usiku lakin wp, tunakesha job lakin wp.🤣
2024-05-28 07:23:53
0
DreamSkin Tanzania :
🥺🥺🥺
2024-05-30 03:59:14
0
To see more videos from user @josephndobandola, please go to the Tikwm
homepage.