@afyauzazitz: Matumizi ya mate au mafuta wakati wa shoo inamadhara gani? #bacteriavaginoisis #women #male #morogoro #zanzibar #viral

AfyaUzazi
AfyaUzazi
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 10 April 2024 14:09:23 GMT
174968
1508
138
491

Music

Download

Comments

rizikimumbwe
Aisha jaruba :
naje vilainishi mahususi nivipi
2025-11-15 12:01:03
1
rachelmuya407
rachelmuya407 :
je ukitumia mafuta ya nazi pia sio mazuri
2024-04-15 08:43:58
2
its_alicy
Alicy :
dr nitatizo la kutoka uchafu mika miwili sasa natibu bado inarudi tena nimeenda hospital wakaniambia na pid nichome sindano niache dawa pless nisaidi
2024-04-16 07:21:10
2
rubigeorge0
De only one :
uti yangu haishi yani natumia sindano dawa ila inajirudia nmechoka doctor ...pia na mme wangu anapenda kutumia mate nataka nmkataze ila naanzaje
2024-04-10 14:58:47
0
user5083717925484
user5083717925484 :
docta unapatikana wap
2024-04-16 13:17:32
1
mobeto38
mobeto :
haya doct vp na wale wanaonyonya uke wake zao ktk maandalizi ya hilo tendo je kuna madhara
2024-04-24 20:01:43
2
fettybella8
Bella :
Mi hapo kwny shoo tu ndo unaniacha hoi
2024-04-12 04:46:26
5
ariyanaornella1
ariyana Orenlla :
Nina mume moja, Mimi ndio maumbile yangu
2025-08-31 15:21:26
0
user34434683713293
@mossi3tz :
dokta unapatikana hospitali gani hapa Zanzibar
2024-08-04 18:01:51
1
zeddy5183
zeddy :
Ni vilainishi gani vzuri kupaka ukeni ambayo haina madhara
2024-07-09 08:13:03
1
chamababy16
chamababy :
dawa nimetumia had za kuweka sehem za siri sindano mm na muweza wangu lakin bado kama kuna dawa docto nisaidie nipo zanzibar
2024-05-16 19:09:05
1
chrisks47
Chrisks :
Dkt naomba unisadie hili mkewangu anaona dalili zakujauzito ila akienda hospila wawoni chochote kwann shida ninini🙏🏽
2024-05-06 19:58:32
2
user4157904425935
mrs-mo 30 :
dr naomb unifundishe kutumia kalenda nisishike mimba na nikihtj mimbaa nipange jinsiaa
2024-05-20 20:31:49
1
hamamystore
Hamamy collection :
sasa vilainishi gan ni mahusisi kwa ajili ya tendo
2024-05-14 13:56:19
1
user7699800724722
anezia :
doctor kama uke una kuwa na ute ute mweupe hakuna madhara?
2024-05-01 19:16:04
1
chama7875
chama :
docta vilainishi hivyo vyote vinamadhara Je atumie nini ili kuwe laini
2024-04-30 20:37:18
1
dvoice221
di voice :
tutumie nn sasa kaka yangu
2024-04-30 15:12:33
1
chamababy16
chamababy :
docta habar na mm mhanga wa hayo matatizo nina maumivu makali wa katati wa tendo la ndoa mkavu natokwa na uchafu nawashwa sehem za siri kiuno kinanium
2024-05-16 19:07:37
1
user32703916360972
hidaya mussa mkude :
vilainishi mahususi ndio vipi dr
2024-05-03 12:29:38
1
user4157904425935
mrs-mo 30 :
choo kigum kinasababisha na nn dr na dawa nzur ya fangas iishe kbs n nn dr
2024-05-20 20:30:37
1
mamakulwa1
Mama kulwa❤️🔐 :
doct nisaidi nikimia wembe upele natoka nimetumia kupaka after shave bdo upele unanitoka inakuwa shida nini
2024-04-17 11:46:52
2
mama.t.collection5
House of sweety :
duka umeshamaliza likozo,tuje spitali
2024-04-11 21:48:28
1
user26635577
ikky :
doct mm naomba namba yako ya cm
2024-05-27 03:00:48
0
ariyanaornella1
ariyana Orenlla :
Jambo Dr mimi Tangu Niko fill paka Leo Mimi nimukavu paka Leo Nina mwaka 43 ninawatoto 8 paka Leo Mimi nimukavu mume wangu akitaka tedo paka nipake mate wala makuta, naweza fanya Nini?
2025-08-31 15:20:45
0
didabajoubalmauly1
didabajoun :
dr benard Umebadilika mashaullah ni dr mzuri sana ulinipa report ya bedrest. mwaka 2018 hadi sahivi bibty yangu ana miaka 5. Nakupenda sana. Tawaqal
2024-05-27 09:16:48
0
To see more videos from user @afyauzazitz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About