asalam waylkum sheikh mmi nlifnya ilo jarbio lkni siku ya nane ama ya mwisho nikienda kuangalia napata akuna maji ila kitungu kimeota lkni nilikizika
2024-04-22 08:28:24
1
aishe chembea :
shukurani
2024-04-18 06:16:38
0
Fathma love you :
kwani huwa waja Kenya ama nilikufananisha shekhe wangu
2024-07-08 17:53:30
0
lilani achieng :
Thanks
2024-04-21 16:06:03
0
user8838515507316 :
Mm sku ya 7 nmekuta maj meus kitunguu sjakikuta sjui ndy nn
2024-05-04 18:54:03
0
brackyx :
naeza kukupata wapi mi nko na shida mob
2024-05-27 10:24:24
1
Junior sboy. :
maalim nisaidie dawa za kuondoa vifungo vya pesa na kusafisha nyota na kuondoa nuski mwilini
2024-05-06 00:40:29
1
User4455667722255 :
kwamtu ninae mdai namfanyaje ili anilipe hela yangu
2024-04-18 10:35:18
1
Hashima Moha :
ikiisha cku 7 wayafanyaje hayo maji na kitunguu na sindano watupa au wazika
2024-04-27 18:01:48
1
mr walba :
baada ya kuroweka tunafanyaje badae
2024-06-19 20:12:20
1
shida 7779 :
sasa km aliyefanya anazuia isimrudie inakuwaje maalim. Je mimi nitakuwa nimepona au
2024-04-19 13:04:46
1
aishakathure :
dawa ya ndoto za shuleni na kijijini
2024-04-18 19:19:18
1
yusraabdala2008 :
Ustadhi mm imenisaidiya ya jivu kuona na Siku yakwanza nimeona mke mwenza Abaye ashawachwa tuko mahali lakini hakuweza kunitizama mm na sikumtanganya sura aliondoka hataka siku 2
2024-06-26 06:06:59
0
Aisha Kishuko :
Mm naomba utaje zile dawa za uchawi wa kivuli pls
2024-07-04 12:04:03
0
princess B :
alafu baada ya siku 7 tunatupa wap
2024-06-24 11:45:42
0
peninahchris :
na ukiweka kwenyekikopo cndano unakuwa umezitoa kwenye kitunguuu au unadumpukiza pamoja
mi natafuta hii kitu ya mjarabati nitaipaje kwa mfanop
2024-06-02 19:17:55
0
tylerkorir :
me kuna mtu amekatalia pesa angu
2024-06-02 14:28:36
0
imanuelmtavangu :
sindano nimekosa pin je haifai
2024-05-30 11:05:35
0
123456789 :
Maalim....kama nshaweka siku saba maji yakawa meusi na adui hajafikiwa na manuizi yangu nifanyeje ili yamfikie maana anaweza kuwa na kinga
2024-05-25 21:52:31
0
princess noor :
dawa ya fibrois
2024-05-25 20:16:17
0
Lady Kate :
Izo shindano kumi na mbili nadunga kwa kitunguu ama
2024-05-23 15:59:33
0
Lady Kate :
Nieleze iyo ya jivu
2024-05-23 15:58:10
0
user1298401660872faizaally :
mwalim nauliza kitungu kikiota tena nakuleta majani niye vote nimezika vile vilikuwa na maji yaligeuka meusi sana "miye nilizika kariba na kazi yangu kwasababu huko na lala huwezi kuchimba asante
2025-02-11 13:47:26
0
kamanda :
maalim na kama anakinga hakitarudi Tena kwako
2026-01-28 11:49:26
0
🌺Miss Haitham🧜♀️ :
😁
2025-06-02 18:12:16
0
Alex sanga :
🥰
2025-05-15 03:46:21
0
yusraabdala2008 :
Siku ya pili nilipigana nakiumbe kiss hi eleweka na nikawa na soma yasini na huku napijana nikamuuma sana na kushutuka Siku 3 sikuota na 4 nilipijana kidogo alinitaganya kwa shingo na nikapigana nijib
2024-06-26 06:09:09
0
raulinenyevu :
🥰
2025-02-02 09:05:56
0
William Mlewi :
😂
2025-02-01 17:53:17
0
Anna :
Asante sana
2024-10-07 15:10:48
0
Drought Heller :
Maalim, baada ya hizo siku saba sasa ikifika siku ya nane? Maji yakiwa meusi, natupa hicho kitunguu na kumwaga maji?
2024-08-12 00:21:15
0
Issa Issa :
kwhy malim baada ya ck saba maji tunamwaga au alafu nakitungu hch chenye sindano tunakitupa au
2024-07-11 10:14:34
0
Magie Thomson :
unaloweka pamoja na Simdano na je kama havirudi kwake mm natibikaje
2024-05-09 03:18:23
0
habibacrazy :
pia vitunguu ni kumi na mbili
2024-07-03 22:12:22
0
ibra :
shukran sheikh
2024-04-18 13:10:32
0
saggygrace :
🙏🙏🙏
2024-04-21 11:02:28
0
GREEN APLE🍏🍏 :
sasa mbon mm nilifanya nikam.me ndo natesek nachomwa mm kila mahara nisaidie hap
2024-04-20 19:33:54
0
nyaboke kiazalaaa 💦😏 :
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2024-04-20 07:49:00
0
carol :
Asante🇰🇪🇰🇪
2024-04-20 00:13:33
0
lreenokweta :
Asante
2024-04-19 23:23:41
0
To see more videos from user @ibrahimmkenya2, please go to the Tikwm
homepage.