@hamadnassor0:

HAMAD NASSOR
HAMAD NASSOR
Open In TikTok:
Region: US
Saturday 27 April 2024 03:22:26 GMT
193570
5025
1053
952

Music

Download

Comments

farsy42
iam_farsy :
mtume alifiwa na mke na watoto lkn hakusoma khitma wala vizazi hata maswahaba hawakufanya khitma iweje leo sisi tufanye khitma
2024-04-27 06:12:27
71
fadhilihussein6
fadhilihussein6 :
Wote wako sawa. ukimsikiza Shelh Waleed hakusema Quran anasomewa Maiti isipokuwa kasema wao wanajisomea lakini wanaomba thawabu zao ziende kwa Maiti.
2024-04-27 17:50:34
66
chenywhite_art
cheny white :
😂😂kisimi is typing.....
2024-04-27 23:07:26
15
khamisndebwa
Khamis Ndebwa :
mbona mtume Swalla Allahu gh'alaihi wasallam amesemaa" wasomeeni maiti zenu suratu yaasin""??
2024-04-27 19:37:05
12
abdulazi5550
Abdulaziz Abdallah Salim :
Sheikh Nassor Bacho, Allah akulipe Jannatul Firdaus Amin
2024-04-28 06:52:33
13
omarsakawa4
Omar Sakawa :
hio swala ya maiti haina qur'ani?
2024-04-27 14:04:41
14
ahmadazubeir
user5333211248412 :
Mtume hakusoma,jee kwakua hakusoma ndio haifai kusoma?
2024-04-27 08:26:55
5
amanimustafa657
Amani Mustafa :
shekhe waleed ni shekhe ubwabwa
2024-05-10 09:03:31
15
khamsoyussuf
khamsoyussuf :
kisimi tena 🤣🤣
2024-04-27 10:07:55
5
user7181926129231
jokhary :
mbona tunatakiwa kuacha watoto wema wataotukumbuka kwa dua hii imekaaje
2024-04-28 08:58:55
8
mmangakhamis1
Manhaj salafy :
unajua kun watu mupo kiubishaani to sasa mtume na ss nan anaijua dini
2024-04-27 04:35:57
19
haqilillahtaalaab
حقِلِلَح تَعل :
Huyo nassoro bachu amekuwa yeye swahaba kwani?
2024-04-29 15:23:49
1
mzezele
PhoneStop :
Mtume hakufanya lakin yamefanywa na swahaba wake wanazuoni wake ambao ndio warithi wake!
2024-04-27 08:14:57
1
mzeemwinyihassan
mzeemwinyihassan :
bachu alikua chizi na mwanawe karithi uchizi
2024-04-29 12:14:29
3
asadabdul39
asadabdul39 :
mtume alifanya?
2026-02-08 21:45:48
1
akilyemily
Akil :
kime umana huko achaneni na uongo waislamu njoeni kwa yesu kristo yeye ndie njia kweli na uzima
2025-04-17 07:04:33
1
senzoboy09
senzo :
shekh waleed umeteleza sana una takiwa uyapitie mawaidha ya Al marhum shekh nassor bachu Allah amrehemu Inshaa Allah yeye alikua ni taasisi ya elimu ya dini ya kiislam kwa tanzania hii.km alivyo Al marhum shekh abudu rogo kenya
2025-06-09 09:31:51
1
bdhhusahhhmif
abuu ubeda :
bachu muongo kwanini tukimswalia maitintwasoma fatiha kwanza pili tumswalia mtume tatu twamuombea Dua maiti vp fatiha siquran
2024-04-27 16:42:38
2
ahmedhamza055
Hamza Abdul :
Wote wapo sawa ila inategemea na nia ya msomaji quran
2025-03-13 12:10:38
3
hassani_gmail.com
Abuu Ridhwan :
Ibada bila ya sharti mbili haikubaliwi 1.Ikhlas 2.Iwe imethibiti kutoka kwa sunnah sasa kusomea Quran maiti imethibiti wapi katika sunnah?
2024-04-30 07:35:37
5
brightstarcollection
BRIGHT STAR COLLECTION :
tatizo ni elimu mawahabi munakaa kupinga pinga ilmu hamna someni kwanza
2024-05-13 09:49:57
2
user9504529116802
child rashard :
quran inasehemu yake kusomwa sio kusoma kwajili ya kupelekea thawabu maiti
2025-10-14 21:00:23
1
mustayooo
mustafa abdul :
tunamfuata mtume sio sheikh walidi
2025-06-01 16:50:16
1
sparrows168
sparrows :
wale wote wanaita bidaa kwa mauridi au kisomo cha Quran kwa waiti basi waache, kutumia vifaa vya kisasa kama speaker kujirekodi video kuangalia TV sababu mtume hakuvitumia
2024-06-18 08:05:50
3
humudfuad1
King Humud & Fuad Al-Hinai :
je kusoma QURAN KWENYE SIJDA INA JUZU KAMA HAIJUZI BASI KILA KITU KINA MIPAKA YAKE UZUSHI NI UZUSHI TU
2024-04-27 12:38:06
4
To see more videos from user @hamadnassor0, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About