Kakangu alipata Cansa tulimpa hayo majani mpaka basi....Kifupi huu ugonjwa ni wa hatari mnoooo
2024-05-13 14:09:52
13
tosha neema🇧🇭 :
pia majani ya munjugu karanga nitiba nzuri sana niko na mgojwa hapa saudia namuhudumia ako.na saratani saa hii ashapona
2024-05-10 07:50:30
9
metre box :
what about pressure
2024-05-09 19:02:56
5
user1020866822221 :
musafeli ni nini?
2024-07-13 20:16:08
0
Ngula mbesese :
maji ukuchemsha unaweza kuyahifadhi kwa siku 7 au inakuaje
2024-05-17 08:18:19
0
Cutie💕💕 :
Mstafeli in Englsh pliz
2024-05-30 11:07:50
1
nurah ❤️🇰🇪💯 :
what is mstafeli pls
2024-05-12 18:14:21
0
naa :
Habar dawa P.I.D iliyokomaaa maana nishaituma dawa mda mrefu sana
2024-05-11 03:09:19
1
Rosemary Johson :
yaan kama hujapata utapata kansa ila ukiwa nayo unapona?
2024-05-10 14:24:28
0
Mariam Athuman :
docta mbona umesema kutumia majani ya mstafeli kama hauna kansa utaipata hapo hatyjaelewa vizuri tueleweshe
2024-05-12 15:31:23
5
last born wa saru🌹🌹🌹😘😘💪 :
n majani gani hayo?hayana jina lingine?
2024-07-08 12:21:21
1
Cool Fetty Saloon :
kama Mtu ablidi unafanywaje?
2024-05-24 12:25:49
0
sada :
wewe ni kibaraka wa marekani ngoja nkunyoshee usitake kupoteza umaaa majani ya mstaferi ni dawa kamili ya kuondoa na kutibu censa ya aina zote na sio eti ukitumia utapata halaf ndo itaondoka uongoo
2024-05-13 09:24:08
0
Abdi Bille297 :
majani mstapel nini mjani jana
2024-05-09 19:59:47
1
Suleiman :
Kama hujaipata ukitumia majani utaipata? Aaah hapa umechanganya madawa kiongozi. mm najua majani yake ni dawa ya maradhi mengi tu
2024-05-09 20:29:57
0
mariammohammed1394 :
majan mabichi au makavu?
2024-05-09 19:16:45
0
Jennasia⚘ :
mizizi ya mnyonyo kuipata sasa
2024-05-17 09:03:35
1
Fatma badi :
nyonyo ni mti gani?
2024-08-05 14:36:10
0
polly :
doctor mimi sijui mlangamia nini??
2024-05-10 07:20:22
2
simon :
tuma picha ya huo mti tuone
2024-05-15 10:45:19
1
Robyn the greatest :
tuoneshe mti wa mlangamia
2024-05-17 06:36:56
0
Linah Mjema :
mstafell nauamini sana asikwambie mtu!!!
kuna siri kubwa snaa kwenye huo Mmea
hii ni kweli kabisa usipuuze,mwenzangu alikuwa na kama uvimbe kwenye matiti but yameondoka yote, ila uwe mvumilivu usichoke kunywa sio dawa ya siku 1
2024-05-14 09:40:37
2
Toni Billions🇹🇿🇨🇦 :
Sijaelewa Yani kama huna kansa ukanywa Maji ya mstafeli wapata na kama unayo yatoweka lakin kama unahormon imbalance inatibu sasa siitatibu horm in imbalance na kansa itaingia tueleweshe kwakwel.
2024-05-15 12:05:31
0
To see more videos from user @jamesmgonda, please go to the Tikwm
homepage.