utajiri sio ela pekee utajiri ni mindset na si kila aliefeli hawezi kukushauri ndio mana kuna muda tukosa kupata uhalisia coz tunadharau sauti dhaifu
2024-05-22 17:08:18
7
kimosa :
mzee akifeli
bado anaweza kukushauri njia ipi upite ili usifeli kama ilivyo feli yeye...
2024-05-22 18:47:32
7
Best :
Kuwa na mentor aliyefanikiwa ni muhimu. Kwa mfano, mimi Mkristo mentor wangu ni Kristo, skills anazotupatia ziko ndani ya biblia na zinatumika katika maisha yetu kila siku. Ushauri wako Una mantiki
acha uongo inapetegemea huyo baba ako labda awe chizi baba mzazi anaweza kukushauri vzr kwa yale makosa aliyofanya ili wewe usitafanye ukawa km yeye
2024-07-12 04:29:57
1
Edwin :
true
2024-05-25 04:50:37
1
Matokeo Matokeo :
Ibra, kwa hapa Bongo wengi waliofanikiwa sio wakweli na ukiona anakuambia fanya vile mara nyingi anataka kukupiga
2024-08-17 08:55:52
1
shadrack sanga.✅ :
fact sana Dr
2024-08-13 11:05:56
1
amoce :
fact
2024-05-23 07:03:35
1
stan karoli :
Bro ww n tajir bhn
2024-05-23 20:20:35
1
husseinkyakalaba :
Hapo kwenye AI ndio dunia ilipo
2024-06-21 17:58:28
1
Thadey Shirima :
vijana tutafute asee,
2024-06-09 07:50:46
1
Thadey Shirima :
facts brodher. taaluma zinakuwa updated kila leo.
2024-06-09 07:52:19
1
Fundi Ahmed. :
sio sahihi ndugu, sio wazazi hata marafiki waliofeli wanaweza kuwa walimu wazuri zaidi kwetu... kwa mlango mmoja tu "wakiamua kuwa wazi kipi kiliwafelisha", ndo ukazaliwa msemo "learn from mistakes"
2024-05-23 10:25:02
1
OTSeI tutu :
kumbe hili jamaa tablalaza kabsa
2024-05-25 12:46:55
1
Bluc Xanny :
hahaha true🤣
2024-06-09 06:34:53
1
@SmartDriver_VVIP 🧠🙂↕️🚍🛣️ :
😞kaka.umetisha.
2024-07-25 18:51:06
1
magombes son :
wewe ni modo wangu MUNGU akupe maisha marefu mwamba kuna mambo nimeyafuata na nimefanikiwa kutoka kwako
2024-08-01 07:03:23
1
Coach Samuel :
Ni kwelì kabisa mentor .. Si kila mtu anafaa kuwa mshauri wa mambo ya pesa hata wale baba zetu wa kiroho. . kuna wakati mtu anahitaji kuelekezwa strategies fulan tu ila aambiwa kuna pepo 😂
2024-05-22 10:08:56
1
muharibifu :
that's true mimi nimefeli baada yakumaikiliza mzee ila najifunza kitu hapa wazazi sometimes ndio chanzo
2024-05-23 17:56:56
1
To see more videos from user @dr_ibrachenza, please go to the Tikwm
homepage.