sina dharau da Rahma lakin nashangaa kila nkiongea mume wangu anasema nadharau wakati sipo ivo nashangaa,kwa sababu kuna muda nasukumwa nijibu na kuna muda nasukumwa nikae kimya nisijibu chochote,na nkilazimisha nimjibu tunagombana Sana sanaaaa yaani hakuna maelewano na atafukua hadi makaburi ili kunikwaza na akinikwaza tu yeye anakua na amani ..sasa simwelewagi kwanin anapenda kunifanya nisiwe na amani ni furaha yake dada
2024-06-17 21:12:15
7
user8591081629401 Susanneh :
Ukweli kbisa be blessed thanks
2024-06-25 09:12:19
2
Baby girl 🍎🍇🍓 :
Mungu akupe umri mlefu sana dada hakika umekuwa baraka kuna vitu unaongea adi mwili unasisimka una zawadi yako ipo cku itakufikia dear nakupend😘