@dr.issambashu: @Elimu ya Afya NJIA SALAMA ZAIDI YA UZAZI WA MPANGO #drmbashu #drbenny #drissambashu #tubemedical #tanzania🇹🇿 #daressalaam🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #nairobitiktokers🇰🇪 #ugandatiktok🇺🇬 #rwandatiktok🇷🇼 #congolaise🇨🇩 #burunditiktok🇧🇮 #zanzibar🇹🇿

Dr Mbashu MD | PMP®
Dr Mbashu MD | PMP®
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 June 2024 17:45:18 GMT
50058
1370
91
250

Music

Download

Comments

llilopretty45
Llilo :
kitanzi is the best❤️❤️❤️
2024-06-24 17:36:25
7
grrrzzzz2345
user543097 :
Very good work Dr.
2024-06-29 13:30:57
2
user6537848682597
lelaablack :
mm nimetumia kitanzi for 6 years cku nimekitoa na mimba hapo hapo ni nzuri kabisa
2024-06-13 11:06:39
12
dafedanic_98
dafedanic :
doh hatimaye nakuona lecture wangu wa obs and gynacology
2024-06-17 21:30:26
5
user75717302
pinnah_silva :
thank you doctor
2024-06-22 13:50:53
2
bellarose6117
Bellarose🌹 :
Dr kuna Chinese ring yenyewe haina kamba na wala haina effect yoyote ni nzuri zaid ya coper T ukihitaji niko nazo
2024-06-19 19:06:29
4
user4926112181698
mkusujully :
doctor group 0- sindano ni lazima? na je usipochoma kuna madhara gani?
2024-06-12 18:05:37
1
saggitarius813
Mercy :
habari dokta?Kuna uwezekano wa kupata tena mimba kwa mwanamke ambaye mimba ilikaa nje ya mfuko wa uzazi then ikatolewa kwa operation yaan ectopic,?? anaweza kubeba mimba tena??
2024-08-05 20:04:26
0
colona46
colona46 :
Siku ukitulia kutakua na zawadi yako
2024-06-12 18:19:19
2
dorinmremagmail.c
[email protected] :
mm nmejifungua mwezi wa 2 wa 3 nikaingia period mpakaleo sjaona tena shida nn
2024-06-20 11:07:48
0
rayjay335
Dactari wa vijana💊🩺👨‍⚕️ :
je kwa hiii strip ya LH inawez tumika kama njia ya uzaz wa mpango au nikwajili ya kupima ovations days.?
2024-06-12 20:07:40
2
doreenmalkiafashion
doreenmalkiafashion :
Mbona mm nimeweka kitazi sijapata period miez 9 je nivibaya
2024-09-03 20:33:21
1
le__madame
MammyHuldah :
Dr naomba unisaidie me nilitak kuweka kitanz nikaambiw njia yangu ndg haisapot sasa njia nyingne kwa sabab ya overweight nashindw kutumia sasa nifanyeje au nifosi nikiweke hvohvo
2024-06-14 02:51:50
1
user1407228913265
double k :
apo ikingangania wakati wa kukitoa inakuaje mbona km naogopa je akiwezi niletea kansa ya singo ya kizazi nakuomba sana unijibu maan mm nimeweka kitanz
2024-08-11 19:34:21
0
janath.yassin
J.Y :
asante kutuelimisha
2024-06-14 03:06:13
1
salsher_outfit3
salsher_outfit3 :
Dr naomba msaada nilikuwa natumia sindano nimechoma 3 imeniletea athar ya overweight na kukosa hedhi nikaacha kuchoma sasa iv niko na miez 6 cjachoma
2024-07-14 10:17:22
0
mamumunir
sweetmamu :
mm nimewahi kuweka kitanzi zaidi ya mara 2 kinatoka baada ya siku 2 au tatu.
2024-06-25 17:13:01
0
mbeyamakeupartst
Glam by MIMAH ✨ :
Mm nmeweka kitanzi Ila nahis maumivu chini ya kitovu hiyo ni kawaida
2024-06-23 08:47:18
0
f.a.u.s.t.a2
f.a.u.s.t.a :
Kwanini watu wengi wanakimbia kitanzi
2024-06-14 17:20:38
2
abby.k4178
Abby k :
thank you
2024-07-13 06:42:29
1
nyumbanipark_kigoma
NyumbaniPark_Kigoma🔥🔥 :
Asanteni sana🙏.. nimejifunza kitu
2024-06-20 14:05:32
1
peecute1
pee cute :
huyu ni Mimi jamani kwenye shoo
2024-06-17 20:17:25
1
glam_jackie
Jackline stores :
Naomba nitajie hosp nzur ya kwenda kuweka kitanzi
2024-11-23 08:54:59
0
kasholomimartine
Kasholomi Martine :
doct ndg ang anatumia sindan lakin kila siku anatokwa na dam japo ni kidg kidg ,, je hii imekaaje
2024-09-17 23:06:56
0
user9399863606161
user9399863606161 :
Samahani doctor kuna watu wanasema njia ya kitanzi huwa inauma je kuna ukweli kwa hilo
2024-06-13 15:01:59
0
To see more videos from user @dr.issambashu, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About