Samahani Babu lekebisha ayo meno Kisha nakuuliza iyo jezi ni ya timu Gani kama ya mnyama kaivue mara moja sisi hatutaki wazee sasa ivi wenye mapenngo😄😄😄😄 arafu hauimbi.kweli unatafuna tafuna tu
2024-07-04 10:59:13
1
Abdulahi's son #analyst :
😆wewe mzee
2024-07-13 16:31:24
0
Mtoto msupuu :
😂😂😂😂mbna ta ni howaaaa senaaa
2024-07-03 23:57:01
2
zuish beb :
awa ndio wanafuga msisahau, aaaiiiii polepole kwenye comments mwanikanyaga😂😂😂
2024-07-04 01:23:35
1
beautiful flower :
mungu tusaidie tumepotea
2024-07-03 20:23:27
1
zuucute :
we mzee ayo meno umechongesh amaa
2024-06-29 16:10:02
2
flower girl 002 :
hawa ndio wali produce GenZ 🤣🤣🤣🤣
2024-07-18 21:56:21
1
user5865435703832 tima :
🤣🤣🤣🤣Babu ywakumbuka inzi zake
2024-07-31 20:15:54
0
user6994830461878 :
😂😂😂🤣hapa sawa babu
2024-07-30 21:42:35
0
fatusu :
taratibuni jamaani musinikanyagee 😆🥰😆
2024-07-28 21:06:08
0
user25117396924 :
Acha nisalimie tu 🤝🤝
2024-07-28 10:23:01
0
Mwamize :
Utakuwa nalo ndipo 🤣🤣🤣🤣
2024-07-26 13:32:50
0
lily cute :
kumekuchaa 🤣
2024-07-25 21:40:58
0
0623279599 :
Pengine hajuw haswa kma watu wanamsema hajuw Ata koment ziliopo😂😂😂
2024-07-24 20:57:50
0
mum pretty :
huyu alijiweka kwa Genz akachezwa kama mbele na nyuma 😁😁😁😁
2024-07-22 18:18:05
0
Darling Darling7410 :
😂😂😂napita mimi...jamani
2024-07-22 11:36:45
0
mother B❤️ :
jamani muacheni mtu afanya kwa raha zake loooo huyo ni mzazi wa mtu jamani
2024-07-21 10:53:04
0
Chimamy 😍 :
wallahi waislam tusione leo tufikirie na kesho pia huyu alikua km ww saii kawa mtu mzima na tujue pia tunafamilia tusiongee tukamaliza ,(samahani kwa maneno yangu)kheri ya siku nshaallah,nawapenda🥰🥰
2024-07-21 03:38:06
0
user1josephinekwekwe :
subuhanallah allah akusamehe wewe mzee
2024-07-20 23:52:34
0
To see more videos from user @mohammedkingori, please go to the Tikwm
homepage.