Niliteleza choon,mguu ukafika had kwa sink..nikaangukia matako😂😂😂half ni ugenini..Alhamdulillah skupata madhara yoyte🙏
2024-06-28 17:17:06
97
user9307938881584 :
nimempoteza mama angu leo ..juzi tuu kaanguka chooni leo tumezika😭😭😭😭😭R.I.P mama
2024-06-30 14:32:35
86
irish_princess :
my cousin died after falling in the toilet,I wish we knew this 😭
2024-06-28 14:58:26
65
Patrick Mackey :
maji ya chooni uweka mdomoni broo 🙄🙄
2024-06-27 20:14:00
17
Murphey__ :
Ameeen🙏🙏 shukran
2024-06-28 07:48:22
14
zanaki queen👸 :
Mm nilianguka ilikuwa 25dezemba 2022 kama sikosei niliugua mwaka mzima yaani hadi nilifanyiwa op🥺....niliambiwa nitakufa lakini MUNGU alinitete now bado nadunda mu YESU
2024-06-27 20:29:59
75
Sadilu Century Son :
Ikifeli jiandae kuitwa mchawi😭
2024-06-29 08:27:24
37
mahvesh :
kukiwa hakuna maji unafanyaje sasa
2024-06-28 06:23:32
14
edna_sanka99 :
Me niliwahi ila walinipaka ule uchafu na tishu nikawa kama nataka kupooza ila nilikaa sawa 🙏🙏
2024-06-28 17:53:44
5
DAR ZONE TV :
hizi ni story tu za kishirikina watu tunaomuamini Mungu hakuna kitu kama hiki huu ni uchawi...Mimi nimeshaanguka chooni zaidi ya mara Tano na sifanyi hayo mambo na nipo mpaka Leo mpk kesho.Tumuamin Mu
2024-07-05 19:58:20
7
Hawa🍀 2 :
huwa naanguka sana walah hasa nikiwa mjamzito
2024-06-30 08:08:45
10
atque :
mm nilianguka na amna kilicho tokea
2024-06-30 04:00:37
7
.. :
Kaanguka chooni mara mia go direct to the point
2024-07-07 11:32:32
5
mwemezirutta3 :
Lakin lazima ufe tu
2024-06-30 13:58:55
6
floramaile1 :
je kama ni ww mwenyewe na uko peke ako unafanyaje
2024-06-28 08:07:25
11
Hunter boy :
Ikiwa ndo nimeanguka nitajisaidiaje kupuliza hayo maji
2024-06-29 12:33:45
9
manu :
kuna mtu kanguka muda mrefu hatukujua dawa hii
2024-06-27 10:47:39
8
Haleemah🦋❤️ :
Akiangukia matako je
2024-06-28 17:14:47
6
Linnah Mwollo :
Asante
2024-06-28 10:55:45
8
Lameck Methusellah Luhaga :
thank you
2024-06-30 15:34:29
5
Mima pasi :
thank you bro
2024-06-28 05:16:37
5
user9421461047472 :
Asante
2024-06-28 18:54:33
7
naira :
kuanguka kwa kuteleza au kizunguzungu, au mpaka uzimie usindwe kunyanyuka au?
2024-06-30 08:20:28
0
Eddy Sr. Namiyuya :
Dkt.hii kweli niliwahi kuona kwa rafiki yangu Afande Emma alivyodondoka walimfanzia kama ayo amepona na yupo vzr
2024-07-01 07:08:44
3
jumamagaya :
AllahhuAkibar Me bimkubwa wangu kadondoka Jumatano Usiku Kuamkia Alhamis usiku wa Ijumaa Kuamkia jumamos Amefariki Alhamdulillah Na hii Elimu Naipata Leo Jumatatu 🙏🙏 🕊️🕊️🕊️🕊️
2024-07-01 06:08:37
2
To see more videos from user @dullahmihuri, please go to the Tikwm
homepage.