@drhusseyn: ⏳ Kujua Muda Sahihi wa Kutoa Nyuzi Baada ya C-Section! 🤰🏽✨ Kutoa nyuzi baada ya upasuaji wa kujifungua (C-section) ni hatua muhimu katika kupona vizuri. Kwa kawaida, nyuzi za ngozi huondolewa kati ya siku 7 hadi 10 baada ya upasuaji. Hii inategemea kasi ya kupona kwa jeraha na ushauri wa daktari. Kumbuka Kufuatilia Miadi Yako ya Matibabu ili Kuhakikisha Kupona Kwa Usalama. ❤️👶🏽#pageforyou_🔥 #fyppppppppppppppppppppppp #husseynafya

dkt husseyn
dkt husseyn
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 30 June 2024 13:36:09 GMT
114409
716
109
66

Music

Download

Comments

sylviamhumba
Cecy,Cathe💕 :
Mmh mungu tulinde sana sie wanawake , Nina kidonda kibich Nashukur uzi wang siowakutoa
2024-06-30 18:48:07
5
maurynswai
maureenswai :
nimeogopa mpak natetemeka 😞😞😞😞
2024-06-30 19:35:17
2
mercy.spark8
Mercy Spark :
Doctor naomba nisaidie ni njia gan ya kutunza kidonda cha operation kisipate maambukizi
2024-08-27 19:44:53
1
user22170143128354
Malema♡♡♡ :
sikuizi hawatoi bwana
2024-07-01 07:10:36
0
cautharally1
cautharally943 :
wanawake tunapitia machungu huwa nawazaga kutoa nyuziii inauma nasikiaga mpk kizunguzungu na kichefu chefu😭😭
2024-06-30 22:28:07
0
ummy098
ummy098 :
pls naomba unisIdie kunibu suala langu jee kama umevunja chupa na huumwi na uchungu njia hazifunguki inasababishwa na nn?
2024-06-30 23:11:48
0
brinah73
Rinah :
dr naomba unijibu mimi nilienda kutoa nyuzi ikawa inagoma kuvuta ikakatika wakaniambia nirudi baada ya siku3 kurudi uzi ukawa umerudi ndani@
2024-06-30 16:39:57
1
user9145481425143
Jammy :
nashukuru mungu haukuwa akutoa
2024-06-30 20:00:47
0
user18301780803
fai :
naomba kuuliza kama ujifungua kwa njia ya upasuaji unatakiwa ukae kwa muda gn ndo ukutane na baba chanja
2024-07-01 19:32:15
0
usermaggiekimarioo
maggie kimario♥️♥️ :
Na mshukuru mungu sikushonwa za kutoa jamn
2024-07-02 18:22:41
0
mokhlly
mokhan salim :
mm nimeshonwa na nyuzi za kuyeyuka ila leo ya 17 zimebaki 2 hazijatok hdi leo sjui nifanyeje
2024-07-01 10:48:58
0
sashil827
sashil :
dk mm nimemzaba mtoto wangu 2023 na operation lakini mpaka leo nnauzi mmoja nauona na kuushika ila siumiii jee hakuna shida zengine zilitolewa hii ndio ikabakii
2024-07-01 19:55:32
0
rahmaa0053
rahmahamis :
uwiiiiih umenisisimuwaa mshonoowanguuu.nililiiiaaa hapooooo wakatiii wakutowaaa
2024-07-01 18:31:42
0
phoibesadoki
ph :
mmh nimeogopa
2024-06-30 15:12:29
2
motangi000
💫💘 It's Nya💘💫 :
mtu anafaa kupata watoto wangapi qwa njia ya upasuaji??
2025-02-17 20:55:42
1
latifaiddy4
latifaiddy10 :
nimefanyiwa paresiion 3 ila hii ya mwisho chini kabisa nahisi kama kuna kizi nifanyeje
2025-03-17 18:31:31
1
jacklynwanjala1
Testimony J :
nyuzi hutolewa baada ya mda Gani?
2025-11-03 12:27:44
1
latifaiddy4
latifaiddy10 :
naomba kuuliza doctor
2025-03-17 18:21:08
1
shahda877
shahda❤️ :
Mimi week Moja wamenitoa nyuzi nashukuru mungu naendelea vizur
2024-09-05 19:28:34
1
mariamrahim19
mariamrahim :
mim siku tolewa uzi yoyote na am ok
2024-07-01 19:43:07
1
tatianjoseph
madam Jay :
mimi walinitoa siku ya nane yani siku ya nne walinisafisha kidonda siku ya nane wakanitoa uzi
2024-06-30 20:16:59
1
cheusimangara3
Cheusi Mangara😎😂🙌 :
Ashukuliwe mungu stak kukumbuka jmn mimi nna tattu nimemuangaria hii nijikuta nalia asante mungu
2024-06-30 19:41:02
1
mwanaid.majid
ukhty jid💝💝 :
docta mm nilijifungua kwa upasuaj lakn mtoto alifariki sasa ni miez saba naruhusiwa kubeba ujauzito tena au kidonda huwa kina pona baada ya muda gan
2025-03-25 20:26:58
0
halimaismail2543
halima ismail :
doctor nina miezi mitano sasa toka nifanyiwe upasuaji lakini cha ajabu tumbo langu limekua ngumu
2025-08-24 19:28:45
0
valeking367
valeking367 :
ooh mungu tusaidie
2024-06-30 19:32:08
0
To see more videos from user @drhusseyn, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About