@musica._.show: Oow trem 😮‍💨❤️🎶 @Eduardo Costa #sertanejo #eduardocosta #indireta #modão #status #statuswhatsapp #fypシ

Música
Música
Open In TikTok:
Region: BR
Sunday 07 July 2024 19:57:48 GMT
16485
345
1
31

Music

Download

Comments

user1566131844718
user1566131844718 :
❤️
2024-12-20 05:16:28
0
To see more videos from user @musica._.show, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

*#KISHINDO CHA ZIARA YA KAMATI YA UENDESHAJI YA CHIPUKIZI WA CCM MKOA WA MWANZA WILAYA YA NYAMAGANA*  Kamati ya uendeshaji ya Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Mkoa Ndugu Eryne Chanila David Leo Tarehe 30/03/2026 imeanza ziara yake ya kikazi wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza ikiwa na lengo la kukagua uhai wa Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya pamoja na kusikiliza Changamoto za Chipukizi  Aidha Mwenyekiti Eryne amekemea vitendo vya ukatili kwa watoto na kuwaomba wazazi kuendelea kuimarisha Amani na Upendo kwa watoto na kutenga mda wa kuwasikiliza changamoto zao ili kuhakikisha wanasoma kwa utulivu ili kupata matokeo chanya katika masomo yao Sambamba na hayo Mwenyekiti Eryne amewataka watoto kuhakikisha likizo hii pasaka kutulia nyumbani na kujisomea pamoja na kufanya masahihisho kwa masomo ambayo hawakufanya vizuri darasani wakati wa mitihani yao ya majaribio  Katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza Ndugu Eryne Chanila David ametembelea kituo cha Iccare kinacholea watoto wenye changamoto ya Salatani mbalimbali kilichopo kata ya pamba Wilayani Nyamagana na kutoa mkono wa pasaka kwa watoto hao  Akizungumza na watoto katika kituo hicho Mwenyekiti Eryne ameiomba Serikali kuwasaidia watoto hao gharama za kupata bima ya Afya kwa sababu mahitaji yao kwa kila mtoto la 240,000/= ili kupata bima hiyo ya Afya ziara hiyo itaendelea kesho wilaya ya kwimba Mkoani Mwanza  *#Kulinda na Kujenga Ujamaa*  *#Kazi na utu Tunasonga mbele* *#CHIPUKIZI WA CCM... ELIMU NA MATUMAINI*
*#KISHINDO CHA ZIARA YA KAMATI YA UENDESHAJI YA CHIPUKIZI WA CCM MKOA WA MWANZA WILAYA YA NYAMAGANA* Kamati ya uendeshaji ya Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chipukizi Mkoa Ndugu Eryne Chanila David Leo Tarehe 30/03/2026 imeanza ziara yake ya kikazi wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza ikiwa na lengo la kukagua uhai wa Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya pamoja na kusikiliza Changamoto za Chipukizi Aidha Mwenyekiti Eryne amekemea vitendo vya ukatili kwa watoto na kuwaomba wazazi kuendelea kuimarisha Amani na Upendo kwa watoto na kutenga mda wa kuwasikiliza changamoto zao ili kuhakikisha wanasoma kwa utulivu ili kupata matokeo chanya katika masomo yao Sambamba na hayo Mwenyekiti Eryne amewataka watoto kuhakikisha likizo hii pasaka kutulia nyumbani na kujisomea pamoja na kufanya masahihisho kwa masomo ambayo hawakufanya vizuri darasani wakati wa mitihani yao ya majaribio Katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza Ndugu Eryne Chanila David ametembelea kituo cha Iccare kinacholea watoto wenye changamoto ya Salatani mbalimbali kilichopo kata ya pamba Wilayani Nyamagana na kutoa mkono wa pasaka kwa watoto hao Akizungumza na watoto katika kituo hicho Mwenyekiti Eryne ameiomba Serikali kuwasaidia watoto hao gharama za kupata bima ya Afya kwa sababu mahitaji yao kwa kila mtoto la 240,000/= ili kupata bima hiyo ya Afya ziara hiyo itaendelea kesho wilaya ya kwimba Mkoani Mwanza *#Kulinda na Kujenga Ujamaa* *#Kazi na utu Tunasonga mbele* *#CHIPUKIZI WA CCM... ELIMU NA MATUMAINI*

About