uwepo wa Ali na ahmedi..wameufanya mpira ni urafiki na sio uadui....lkn haji anaufanya mpira ni uadui....hafai
2024-07-29 03:47:50
41
Jamal daud :
mie ni mwanasimba lakini Ali kamwe namkubali so yupo really sana hana konakona nyingi kama hilo senge sijui lajikuta nani
2024-07-29 01:38:33
26
Donta D'e Donny :
broo piga kazi achana na bwabwa manara huyo
2024-07-29 04:43:45
8
Teemumy :
daah ali jamn😭😭😭😭
2024-07-28 23:14:24
3
Da mii :
Huyo Haji manara nilituzima ilaa halijitambuwi nalichukia hilo babu mm ni simba ilaa kiukweli ali kamwe unapambana sana kaka yangu baki nawana yanga wewe🙏❤
2024-07-29 04:42:01
5
Mkulima kama mkulima pandezetu :
nabado hamuja chema hadi mcheme dogo unakashifa mbaya san wew
2024-07-29 00:51:54
1
user2425048511190 :
kuna Muda mashabiki tuwe tunaulizwa haji sawa anaaamshaamsha Lakini sifa zinamzidi mpaka anavuka mipaka kwanza hawataendana na Ahmed ally kiupinzani
2024-07-29 03:25:29
3
Richard Mhiru :
haji anamatatizo sana
2024-07-29 03:48:28
2
suzybale og :
haji ana wivu
2024-07-29 03:27:57
2
user1010830872919 :
yani mm kiupande wangu ww una kosa hila uyujama linashida sana