nikimuona huyo mtu namchukia mno japo nililipa kisasi kwa mwenzake wa vipimo vya aina hiyo kwa kumnyanganya na kuvivunja kabisa
2024-08-05 23:18:58
5
Mr king :
Nyamishiga iyo au sio
2024-09-23 05:06:44
0
evayoh :
u ni uakika kama unaeneo ni pigie nkupimie usini@pe ela mpaka uanze uzalishaj ni na mining detector
2024-08-17 14:10:55
0
isackshitindi :
WAPUMBAVU SANA WALINILISHA HASALA YA MILION I 60 CHIMBA CHIMBA WAPI CHIMBA TENA WAPI
WAKAMATWE HAO WAJINGA
2024-08-06 10:56:14
2
TAITA :
Mimi hiyo system nilitumia kuchimbia kisima cha maji na nikapata. Sasa inakuaje huyu anatafutia mwamba wa dhahabu🤣🙌🏽
2024-09-21 06:49:29
0
James Mayala :
hamna kitu Hapo! huyo Makaranga mungu anamuona alichotufanyia Inyonga na kutoroka, hicho ni kipimo cha kupima mkondo wa maji
2024-08-05 07:21:16
0
Mkinguzi :
Hicho kipimo kinafanya estimates na huwa kiko Sawa ila hakitumiki hivyo, long range detection haifanyiki hivyo na part nyingine ya mashine hapo hajaionesha
2024-08-11 11:37:05
1
FUNDI WAKISHUA :
huyo ni muongo nilipoteza Hela kinoma
2024-08-07 06:08:13
0
waziri manture :
bro survey ya mining especially gold ni gharama kubwa ,huyo jamaa asirahisishe mambo,tuchimbe tu kwa asili,ila tukisema tufanye survey tunafilisika mitaji
2024-08-05 22:29:26
0
waziri manture :
hizo kazi za kupima broo ni wazungu wa Australia ndo mambo Yao hayo sie wabongo tuchimbe tu kwa mazoea ,huyo jamaa sidhan kama yupo sahihi ila Hy kazi wanaweza kufanya watu wa gst kwa kudrill bore hol
2024-08-05 22:14:19
0
𝑺𝑻𝑬𝑽𝑬 𝑷𝑯𝑫 💰 :
Hahah jamaa ananikumbusha mbali sana, tushawah pimiwa kwa huo mtindo, tukakodi Excavator ikachimba wiki na nusu na tukatoka empty 🤩🙌🙌