Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
API
Home
How To Use
Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
Home
Detail
@quiz.patentee: Quiz ufficiale per la Patente B, Seguimi su Youtube per nuovi video!! #quiz #patente #patenteb #patentediguida #autoscuola #quizpatente #quizpatenteufficiale #quizpatenteb #trucchipatente #teoriapatente
quiz.patente
Open In TikTok:
Region: IT
Sunday 11 August 2024 18:30:48 GMT
20052
924
5
17
Music
Download
No Watermark .mp4 (
0.56MB
)
No Watermark(HD) .mp4 (
0.9MB
)
Watermark .mp4 (
0.79MB
)
Music .mp3
Comments
ale :
0 errori
2024-08-11 19:02:20
3
ShAni TaRar :
v
2024-08-11 18:46:47
0
francescolombar688 :
0
2024-08-11 21:37:06
0
Ben 10✨ :
1
2024-08-13 13:25:40
0
Michele Poliseno :
0 errori
2024-09-13 02:50:21
0
To see more videos from user @quiz.patentee, please go to the Tikwm homepage.
Other Videos
Ni 2021 siku ya alhamisi ya mwezi wa tatu, ni usiku ambao sitokuja Kuusahau kwenye maisha yangu yote, Ilikuwa ni miezi miwili baada ya mke wangu Kuajiriwa. Kikawaida mke wangu alikuwa akirudi nyumbani saa 12 jioni, akichelewa sana ni saa Moja, Mimi nilikuwa nachelewa kurudi nyumbani kutokana na Biashara zangu. Siku hiyo narudi nyumbani saa mbili nakuta mke wangu hayupo, akili ikanituma labda kaenda Kwa majirani, nikatulia ikapita dakika kama 17 hivi, nikamuuliza dada wa kazi, wifi yako Yuko wapi? (Hivyo ndo walikuwa Wana itana), akasema hajarudi bado kutoka kazini, hapo hapo ikabidi nipige simu, ila Cha ajabu Ikaita bila kupokelewa, nilipiga mpaka mara 4 simu ikawa haipokelewi, nikajaribu mara ya tano Ikaita kidogo mara ikakatwa, nikapiga tena ikawa haipatikani, Akili yangu ikarudi nyuma kufikiria, siku tatu nyuma mke wangu hakuwa sawa, alionekana mnyonge sana ila Kila nikimwuliza nini shida akawa anajibu yuko sawa, ana tabasamu japo sivyo nilivyo mzoea. Sasa nilivyo piga simu ikawa haipokelewi mara ikakatwa ikazimwa akili yangu ikaniambia huyu ananisaliti ndiyo maana amebadilika sana, akili yangu ikaanza Kukubaliana na ule usemi "mwanamke Akianza kushika pesa ana badilika", Nilianza kujuta kwanini nilimruhusu afanye kazi, nilianza kujilaumu sana mpaka nikaanza kufokea watoto huku nawaambia mama yenu ameshaanza upuuzi, Yani nilianza kufoka sana, nikampigia simu rafiki yake akaniambia kazini wametoka saa 12 na waliagana vizuri tu. Muda ukazidi kwenda huku nimekaa nje kumsubiri huku nimeshikilia mkanda, nilikuwa sijawahi Kumpiga mke wangu hata Kofi ila siku hiyo nilipanga nimpige sana, nilikuwa na hasira ambayo haipimiki, muda ulizidi kwenda Kila nikipiga simu haipatikani, nikampigia dada yake naye akasema amempigia simu haipatikani. Saa sita usiku nikiwa niko Facebook kwenye group la jamii forums (sijui siku hizi kama bado lipo) mara nikakutana na picha ya mwili Iko pembeni ya Barabara huku wame andika; "Kuna ajali imetokea hapa stop Over huyu dada amefariki kagongwa na bodaboda akiwa anashuka kwenye gari kama una ndugu yako hajarudi nyumbani wasiliana nasi au nenda hospital ya Muhimbili ukajihakikishie au unaweza kuangalia Viatu hivyo" Nilivyoona Viatu tu nilianza kulia hapo hapo, nikaenda Kwa jirani nikamueleza na kumuonyesha picha akampigia yule aliye post wakaongea, walivyo maliza akanishika Mkono tukaingia kwenye gari mpaka Muhimbili, tukajitambulisha tuka pelekwa mochwari, ndo nakuja kumshuhudia mke wangu kalala kwenye Usingizi wake wa milele huku kapasuka kichwa vibaya Sana. Ni tukio ambalo haliwezi kutoka kichwani mwangu, nilimuwazia mabaya mke wangu kumbe muda wote nawaza hayo alishalala masaa matatu yaliyo pita, Mke wangu nakupenda sana naomba unisamehe hicho kitu nakijutia sana, katika maisha yangu najutia sana nilicho kuwazia siku hiyo. Umeniachia zawadi hizi mbili, Kila nikimtazama mwanangu huyu wa kike nakuona wewe mke wangu, bado unaishi kwenye maisha yangu. Nimeona nishee na nyie hii stori Kwa sababu ni kitu ambacho kimekuwa kama sehemu ya maisha yangu, nimejifunza Kila binadamu anapo karibia kufikwa na umauti Kuna dalili anazionyesha hata kama haumwi. MORE THAN PAINFUL #tiktok #tanzaniantiktok #trending #kenyantiktok🇰🇪
@Cê Tá Doido Festival @Humberto e Ronaldo @Ícaro e Gilmar @@Lukinha @Panda 🐼 @Rafael Cabral #mjmusiccy
@Lukinha @Rafael Cabral A voz dele é demais 🎶 #mjmusiccy #fyp
@Cê Tá Doido Festival @Humberto e Ronaldo @Ícaro e Gilmar @Lukinha @Panda 🐼 @Rafael Cabral #mjmusiccy
About
Robot
API
Legal
Privacy Policy