Mimi naona anaesema basi huwa anaumia zaid asee nilijalibu nilijikut ICU
2024-08-15 19:05:18
50
Mr Pirrah :
hii kitu niliwahi kupitia aiseeeeh 2022 mwishoni sitasahau maisha yangu niliachwa wakati bado nahitaji 😭
2024-08-16 11:50:21
9
Samwel G Makandii :
Mim niliachwa kisa nilijipakulia chakula mwenywe 😭😭😭😭😭
2024-08-15 23:10:37
14
Benedict NJau :
Hahaha Mwamba Hongera kwakuishinda hiyo vita ningumu kushindana na moyo wako mwenyewe but aliyetuumba hajatuambia hiyo nguvu na nafasi IPO yakurecover Bravo Comrade
2024-09-12 13:58:48
0
MANYOTTA MOTARS :
acheni jamani nimekoma kuacha hovyo na nimeachwa maumivu yake asikuambie mtu ni wakati mgumu sana