@thedodomapost: Mchezaji wa klabu ya @yangasc #maxzengeli ameonyesha kuwa yeye ni muumini mzuri na anapenda kuudhuria ibada mara kwa mara, #max amekuwa akionekana uwanjani pindi afungapo goli hupiga magoti na kuonyesha ishara ya kusali kitendo ambacho kinatafsirika kuwa ameokoka. Katika ibada ya jumapili ya taręhe 18/8 max ameonekana akipokea maombi kutoka kwa Mtumishi wa Mungu ajulikanae kama Pastor Tony,Max ni mmoja wa waumini wanao hudhuria ibada katika kanisa la Pastor tony lijulikanalo kama Mkuyuni lililopo Makumbusho millenium tower. Sio mara ya kwanza kwa #maxzengeli kuonekana kanisani hapo hio inamaana kwamba ndio kanisa analolitumia kwa ibada mara kwa mara anapogitaji kupata neno. #thedodomapost #azamsports2 #wasafimedia #clouds #zamaraditv #yangasc#fypシ゚viral #talentotiktok #WANANCHI #talentotiktok #thedodomapostEntertainment #tanzania🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #YANGA #WANANCHI #azamsports2