tujibuni ni swahaba gani na tabiina na tabi tabiina na mtume mwenye alisema tufate mahujaji siku ya arafa
2024-09-14 18:00:13
1
Truth is bitter :
Kwani maswahaba wameacha na kukengeuka mangapi ije kuwa maulidi...?
2024-09-15 03:15:10
0
funnyme774 :
tuambie swahaba Gani alifanya musabakatul Qur'an kupandisha watoto katika masteji Na kushindanisha watoto
2024-09-14 16:06:10
2
Athman Al-paccino El :
Na musabaaqa ya Qura'an hawakufanya
2024-09-14 21:39:10
0
Doctor Habil :
USIHADAIKE NA JINA BALI NI NINI KILICHOPO NDANI YAKE JE KINAFAA AU HAKIFAI “TUKUMBUKE HATA QUR-ANI HAIKUWA KWENYE MAANDISHI WAKATI WA MTUME BALI SWAHABA ABUBAKAR R.A JE NAYO NI BIDAA
2024-09-15 11:32:17
1
Ree :
wao wanadai wao wanampenda mtume kuliko maswahaba😂😂😂😂😂
2024-09-14 16:49:56
2
user4369738393914 :
silazima wafanye wao ulimwengu wenda na wakati.kwa kifupi hicho kipaza sauti unachotumia hapo mtume alitumia? akili kichwani mwako
2024-09-14 17:36:35
1
samba :
maaana ya muhammad kiswahili ni msifiwa na maulid mwanzo mpaka mwisho husifiwa msifuni mtume muhammad s.a.w
2024-09-14 21:30:46
4
zakariaomari968 :
Ingekuwa kugawanya tawheed n kheri wangefanya maswahaba
2024-09-15 08:17:58
3
wellfarmed :
kuweka shadda, dhumma na Kasra katika Qur'an "ingekuwa ni kheyri... maswahaba si wangefanya?"
2024-09-15 04:37:17
2
my name :
hata Leo kuna ziara zefe yaani tunaenda hata kama nishari kila mtu ana kaburi yake mwezi wakupinga huu hamchoko
2024-09-15 11:19:03
0
. :
wafanya manganin maswahaba hawajafanya...mbona kudanganya watu
2024-09-14 11:10:54
0
Strong Man :
:Ok Adana ya kwanza Ijumaa mtume alifanya?
Tarawiih kwa jama mtume alifanya?
tahajud mtume alifanya?
Mtume alijua Mihrab ya mskiti?
Mtume alijua manara ya mskiti yote ni bidah sasa vp wewe?
2024-09-17 08:46:32
0
mamali :
Allahu Akbar Tunaiona faida ya maulid Wasiokua waislam na waislam wanaopinga Maulid wanashtuka wakiona Dunia Nzima ikifika mwezi 12 mfunguo sita jinsi Dunia inavyosherehekea Uzawa wa Mtume
2024-09-15 03:35:13
0
user5578608319680Al-bimany :
mbona wenzenu washasema bora mziki kuliko maulid na wamesema bora zina kuliko maulid kafanyeni tu hayo mawahabi yaliyo bora kwenu
2024-09-14 18:04:52
0
M○#D__$#@LI :
Mtume aliwaambia maswahaba zake nyinyi ni maswahaba zangu lkn kuna ndugi zangu watakuja maswahaba wakauliza ndo kina nani hao? mtume akasema wale ambao watakuja kuniamini bila kuniona..
2024-09-17 14:47:06
1
Doctor Habil :
REJEA HADITH YUPO SWAHABA ALIYEKUWA AKISOMA SURATUL IKHLASWI KILA RAKAA NA WAPO WALIOMSHTAKI KWA MTUME NA MTUME ALIWAAMBIA MUULIZENI KWANINI ANAFANYA HILO NA ALIJIBU KWA MTUME AKALITUZA JE VIPI ???
2024-09-15 11:38:21
2
Ali sabun :
shekh upo sahihi hakuna mtu anae watakia pepo kuliko mtume km maulid niibada asingejifanyia yeye tunafanya sisi halafu iweibada itakuwa nibidaa tu.
2024-09-15 03:22:03
2
Mustaffah El Masoudge :
mbona masaha wameacha mengi sie tunafnya
2024-09-16 16:25:55
0
murb :
sheikh uko sahihi kbs shukran kwa ukumbusho Allah akulipe kher inshaalah
2024-09-16 12:13:36
0
aliathmansaid :
lau mashindano ya Quran nikitu kizuri sanaa angefanya mtume Saw, au maswahaba au taabiina , mbona hawakufanya?. nanyie munafanya .
2024-09-16 04:11:35
0
user5578608319680Al-bimany :
ni kweli maswahaba na tabiina na tabi tabiina hawajafuta mahujani ktk funga ya arafa wala hakuna mtume au maswahaba kuamrisha jambo hilo
2024-09-14 17:57:22
1
To see more videos from user @islamshortvideo, please go to the Tikwm
homepage.