Tunaoota ndoto za Shule tujuane hapa. Maana sio kwa kuhusudiwa huku 😂😂
2024-09-17 22:40:02
433
J~mei Beauty Spot :
Shekh samahani et jicho la kulia kucheza lina maana gn?
2024-09-15 05:08:17
31
user5055721509101 :
suala shehe ukimuota mtume sw mara 2 inaleta maana gani
2024-09-15 04:06:44
39
Qeen fatush :
almost 4yrs n dream tu y shle Mara n faya exm,n chza n m friends Wangu w 2017 😭😭
2024-09-15 09:41:46
70
Tamim💫 :
suluhisho lake sasa ni nini tuambie sheikh
2024-09-15 03:57:03
27
don gusto 💦✨ :
Na Nivipi Mtu Atajitowa Ikiwa AmeshaAthirika Na Hasad...?
2024-09-15 04:42:00
17
Fatuma Abdallah Kombo :
ukiota kama kiama inakuwaje kama maji yanakuja upepo mkali na watu kusema Allah Akbar yani kama kiama hii inakuwaje???
2024-09-15 08:11:36
15
𝚏𝚊𝚢𝚖𝚒𝚗𝚊𝚑💕💖🖇️🖇️ :
inabidi ni dili na mungu maan kila siku shule 🥺🥺
2026-03-01 01:56:53
2
emmie.mussa6 :
Yan mm naota sana niko shule naota sana najifungua na sina mimba
2024-11-22 05:54:37
7
Khamis :
mm naona nafundisha darasani km lecture hivi,tena nakuwa hodari sana
2024-09-15 05:12:53
13
RM STRIVER* :
nawezaje kujiepusha na kuhusudiwa
2024-09-15 05:15:31
5
Aisha :
walahi Mimi huota kila siku Niko Shule Na marafiki zangu wa high skul...Na Ni watu tulipezana toka tumalize hatuna communication 😭😭kumbe Ni hasad mambo yangu hayaendii Nina kazi lkn mambo hayaendi😭
2024-09-17 13:52:41
22
aondowae :
sheikh tupatie dawa na kinga ya hyo ndoto ya shule inatusumbua
2024-09-15 03:02:50
18
hajatkhadijasalli :
no shekhe naweza ota ndoto hizo lkn ktk usiku mmoja naweza ota nipo na rais lkn tena nakua shule nazungukwa na samaki ghafla niko safarini ipovp hii shekhe ndoto ya vikwanzo na mafanikio ktk usiku mmo
2024-09-15 16:57:34
9
rashidyassin69 :
nimemuotea wanangu amefaulu kwa ufaulu wa juu nn maana yake
2024-09-14 22:47:06
5
haile_.maryam :
hasa kuhusu shule , you are 100% sure., tafadhali tupsaidie utaratibu wa tiba, aidha kukufuata au vyenginevyo.
2024-09-15 02:58:20
6
Najma Suleman :
Naota marehem mama yangu analia kwa masikitiko nni maana yake
2025-10-01 17:56:23
0
Mamy 🥰 :
ustadh mie nimeota nakula pilau tena kwenye sherehe inamaana ganu hiyo?
2024-09-15 02:27:17
1
Angel :
Naomba mnijibu mm naota ninamimba au nina watoto mapacha naombeni mnijibu guys
2024-11-27 18:12:42
3
Mrs.Elia💍❤️🔐22 :
Kabisa mimi Mara kwa Mara naota nipo shule Ndio maana sijawahi kuendelea kiuchumi jaman🥺🥺🥺
2026-03-26 12:44:34
1
blackjaga :
tufanyaje kuondoa vfungo na hasad
2025-03-20 09:18:09
2
Nusrat Khalifa :
Sasa iyo ndoto ya shule suluhu yke n nn msaada tafadhal
2024-10-25 09:29:46
2
𝔬𝔣𝔣𝔦𝔠𝔦𝔞𝔩 𝔰𝔴𝔞𝔪𝔪𝔶 :
asante, lakini nini nifanye kuepukana na hiyo ndoto
2024-09-14 22:31:04
3
ADUI ☠️ 💀 :
juzi nimeota nipo na kiongozi leo nimeota nipo shule hii imekaaje sheikh
2026-02-04 01:15:25
1
To see more videos from user @shariff_said_john, please go to the Tikwm
homepage.