Mimi nauliza ibni taymi huyu huyu anasema musifate mahujaji ktk siku ya arafa sasa tueke sawa hapo kwa mujibu wa hadithi hiyo hukmu yake itakua vipi
2024-09-18 18:46:37
2
Ally Hakim :
soma vizuri cz shida yenu hamujui kiarabu mwajitafsiria alafu hicho kitabu chazungumza kuhusu urongo mbona mwafafanuwa kimaulid
2024-09-18 21:26:18
4
AWWAL :
Huyu Sheikh ashasema kuuza pombe saudia si mbaya.....hio faida ina saidia kulipa wafanyi kazi w Madina na Makkah
2024-09-20 08:14:06
1
Strong Man :
Wahabi ndio wafanya sana hii jambo...
2024-09-19 04:59:46
0
swaleh :
Eeeeee angalia vituko ufunguo wa pepo umeshika ni ww
2024-09-19 07:12:56
3
ABUU رحمة 😘 :
shida watu wamaulidi hawaskii na hawataki pia kuambiwa majitu yalizaliwa kwenye Maulidi mi husema hawana akili pengine akili zao zimezama Kula Tu nakutingisha mauno kama wanawake
2024-09-18 20:40:59
3
Abuu Qudaama :
Allah atuepushe na kumzushia MTUME MUHAMMAD ﷺ ALLAHUMA AMYN
2024-09-19 14:09:43
2
Mustaffah El Masoudge :
mwezi Wenu huuu wa kuumwa 🤣🤣🤣
2024-09-19 08:42:18
1
user5700816210800 :
zengeyani kazi mufanye sababu hamuna ilmu mwataka kutowa satwa mujulikane
2024-09-19 03:55:54
1
user5578608319680Al-bimany :
na pia vigawanyo vya tawhidi munasema viko vitatu na mtume hajatufundisha hivyo je kwa mujibu wa hadithi hiyo itakuaje
2024-09-18 18:49:21
1
sabir :
صلي الله عليه وسلم
2024-09-18 17:55:03
1
omari ndegwa :
mashalla
2024-10-07 05:39:33
0
Ali Abdulrahman :
Mimi nao kila mmoja apeleke watoto wao madrasa za kisunni wasipeleke madrasa za bid3a makhurafi wazushi wenye kufru
2024-10-05 23:22:05
0
sayyd :
mkunduo ustadh
2024-10-01 19:02:48
0
shamilina :
kwenda zako huko
2024-10-01 09:21:18
0
Qaassmu Mtunguja Jr :
Shekh huyo ambaye mnamfuata kinafki, mbona yeye ambayo anayakubali na kuafikiana na Watu watwariqa ninyi mnayakataa.
acheni Unafki
2024-09-24 07:38:28
0
TAMBWE BIN ABEDI :
hawa ma wahabi kusoma hawataki na leo hii wamesha gananya magundi 3 nabado wata gawana hadi magundi 10
2024-09-22 06:15:16
0
HAQQI NA UKWELI ✅🕋 :
huyu mtupuu
2024-09-20 21:43:47
0
alhabibsumeit :
huna adabu na alhabib Muhammad bin Ali Alhabshy?
2024-09-20 16:55:15
0
gold_medy🇸🇴🇰🇪🇹🇿🇺🇸🩷 :
Naomba kujua sheikh hi tauhdi mtume aligawanya? Na je hi hukmu yake inakaaje nakama ni bidaa basi ni bidaa gani ambao kwamba kwa tauhidi ifae kuzushwa naomba faida sheikh
2024-09-19 17:52:13
0
kamvudhe nyawe :
watu wa maulidi ndio waopiteza watu
2024-09-19 16:53:28
0
To see more videos from user @islamshortvideo, please go to the Tikwm
homepage.