huyu shekhe ni wa kenya anatoka lamu anaitwa Alzudin hapa alikuwa anasema kama hao wake wameachwa yani wamepewa talaka unaeza waoa kisheria ya uislamu
2024-10-15 12:33:34
12
Kiriguri Mdogo Peter :
hii nayo elimu gani ndio maana siwezi silimu ni makosa makubwa sana hio ndio sinaa iloyo dhahili
2024-12-01 11:36:37
0
Moses-kabue sempele :
huyo pedi hakufanya poa 😂😂😂😂mpaka sheikh 😂😂😂😂hazishuki bana
2024-10-15 14:57:25
5
Barnabas (BJ) :
Ukosawa ata bibilia inakubali hiyo
2024-10-14 09:35:42
5
King Buretta 🤴 :
nguruwe pia msiache
hii dini imekuwa ya kipuuzi sana
2024-10-15 16:55:09
1
شميم :
tufahamishi sijaelewa maanake ni nini
2024-10-14 19:03:36
5
Bila Nauli :
Dini niushubwada mtupu mlitupanga kitambo siSasa, ndomana Dini kaleta binadam Simungu
2024-10-15 10:40:46
3
adyouni :
usilopoke usicho kijua unapata zambi
2024-10-15 11:45:59
2
user2911158365173 :
shk. hiyo hio lugha unayo tumia si ya kiheshima bali ungesema unaweza kuwaowa hiyo lugha unayo tumia ni ya ki maskani na wewe ni shk. hio si lugha nzuri
2024-11-18 14:38:37
2
daros.derehe :
kiswahili amu fahamu😂si kutombana kula wao
2024-10-14 12:15:29
9
yuska hajj :
shida ya kenya hawaelewe kiswahili ya tanzania shkh haongeye juu ya chenye yenye umefikiria jamani
2024-10-14 17:22:50
2
Ahmad Badawy :
Kama hujafahamu inamaanisha hao waliotajwa wakiwa wataachwa na umeona ni warembo sana kwako kama wataka kuwaoa waweza kuwaowa ndio hio kulawao