Imagine 7 years under Rutos regime...Kama for this 2 years it's like a 100 years...Weeeeeeh kweli ni kumoto
2024-10-27 08:38:40
3
Mzee pembe :
Rwanda n 7yrs
2024-10-27 13:11:35
0
user17750385475255 :
very nice point
2024-10-26 18:53:12
1
Aaron kamikaze :
😂😂😂...Hii ni PR we know this is just a decoy biggest level of hypocrisy behind the scenes you are all united and MPs/senators will pass this bill to law...we are all doomed
2024-10-26 19:38:47
1
Busy jay :
hii mkipitisha my friend mtakiona🤣
2024-10-28 03:36:03
0
sams :
mkiongeza tutawapiga mawe aki
2024-10-26 18:52:58
25
ENEMKEI :
wakalee akili yao ni uji tu
2024-10-26 19:41:18
9
HK GITUMBA :
na saa hii anasema nini? after kupewa cs😅
2024-10-26 19:10:26
2
Haggai :
Wacha wafanye mchezo wa kupitisha huo mswada, hii nchi tutaimaliza
2024-10-27 10:53:05
1
king pozze :
unajua mutakufa tu muache hii kenya haya
2024-10-27 06:01:41
1
Irene Queen :
tumechoka
2024-10-26 19:53:47
1
user67327045578327 :
kazi imewashinda heri tukae pila kiongozi
2024-10-28 08:16:50
0
Patri :
Kwani kibaki aliinua uchumi ni mwika 7 hata wapeo 20 hukuna kitu watafanya tume choka
2024-10-27 10:29:20
0
Said Abeid :
Tabu itaongezeka ikiwa hawakufanya kitu kwa 2yas na kwa 7yas wataharibu kabisa majambazi ni hawo wanataka 7yas
2024-10-27 09:19:04
0
nyagabenjamin :
wasitujaribu
2024-10-27 08:43:57
0
@chibuleOG :
uyu atafutwa kaz
2024-10-27 07:36:40
0
Mc kanash :
Uyu mzee asituone kama matako yako
2024-10-27 06:56:41
0
diwanyo :
c,s opranya kuweni wajanja mko three brothers in the government mukae chini muongee mlete uongozi Western wewe weta na musalia muko sawa
2024-10-27 03:25:57
0
Baraka Abdi :
hiyo ni ukweli mheshimiwa wewe uko sawa tunataka tatu ikizidi inne
2024-10-27 03:24:27
0
kisenge :
wewe unaenda miaka mbili tu
2024-10-27 02:34:41
0
user3104692825281 :
ifikie cherargei
2024-10-27 00:48:50
0
fabulous :
ruto anajua ni 1 term president ndio maana anaongeza
2024-10-27 00:23:30
0
kakasymo254 :
ni wezi waongezwe miaka ya kutuimbia bure kabisa inafaa miaka ine
2024-10-27 00:08:33
0
Critical care nurse 001. :
hii mambo ya term limit mumeleta tusahau kabisa Adani na Rigathi ama.Govt is confusing us kweli 🤣🤣🤣
2024-10-26 21:48:46
0
To see more videos from user @truthmedia1, please go to the Tikwm
homepage.