Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
API
Home
How To Use
Language
English
عربي
Tiếng Việt
русский
français
español
日本語
한글
Deutsch
हिन्दी
简体中文
繁體中文
Home
Detail
@djamel19089: #فكاهة#الشعب_الصيني_ماله_حل😂😂 #الجزائر_تونس_المغرب #pourtoii #tiktoker #tiktoker #yourpage
djamel
Open In TikTok:
Region: DZ
Wednesday 13 November 2024 20:20:55 GMT
134
43
2
1
Music
Download
No Watermark .mp4 (
6.42MB
)
No Watermark(HD) .mp4 (
6.42MB
)
Watermark .mp4 (
0MB
)
Music .mp3
Comments
abaye :
🥰🥰🥰
2024-11-13 20:24:31
1
Tima Turk :
تحياتي
2024-11-13 20:30:34
1
To see more videos from user @djamel19089, please go to the Tikwm homepage.
Other Videos
#الطائف_الان #امطار_الطائف♥️🌧 #الشفا #الهدا #الطائف
BACK WORKOUT - DUMBBLLES ONLY 💪 Know the Difference 📝 #gym #Fitness #back #backworkouts #homeworkout
#ستوريات #foryou #fyp
AJALI YA BASI LA KANDAHARI MAKUYUNI YAUA WATU KADHAA Watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Kandahari na malori mawili katika eneo la Makuyuni, wilayani Monduli, mkoani Arusha. Taarifa za mashuhuda zinaeleza kuwa basi la Kandahari lenye namba T 732 DRL, lilikuwa likitoka mkoani Kilimanjaro kuelekea Mpanda mkoani Katavi. Wakati huo huo, gari aina ya semi-trela lenye namba T 727 EPW lilikuwa likitoka Kahama kuelekea Tanga kuchukua shehena ya saruji. Kwa mujibu wa dereva mmoja aliyekuwa akisafiri katika msafara wa semi-trela hizo, ajali ilitokea baada ya basi la Kandahari kujaribu kulipita lori lililokuwa mbele yake katika eneo la kona. Kutokana na mwonekano hafifu wa barabara katika eneo hilo, basi liligongana uso kwa uso na semi-trela T 727 EPW iliyokuwa ikitokea upande wa pili. Mashuhuda wamesema gari lingine lenye namba T 757 DWV, ambalo lilikuwa linafuatana na semi-trela hiyo, lilipinduka wakati wa kujaribu kukwepa ajali. Shahidi huyo amesema dereva wa basi alifariki dunia papo hapo, huku abiria wengine wakipoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Vikosi vya uokoaji pamoja na Jeshi la Polisi vilifika eneo la tukio na kuendelea na shughuli za kuwaokoa majeruhi, kuondoa miili ya waliofariki na kudhibiti msongamano mkubwa wa magari uliosababishwa na ajali hiyo. Jeshi la Polisi linatarajiwa kutoa taarifa rasmi kuhusu idadi kamili ya vifo, majeruhi na chanzo cha ajali hiyo baada ya uchunguzi kukamilika.
#onthisday
About
Robot
API
Legal
Privacy Policy