@m_mody_a: أفهمي بقا | المشاعر مش كلام 🥺🌹 #اغاني_رومانسية #اغاني_حب #اغاني #ترند #تصميمي #capcut #tiktok #fun #f #fyp #fy #funny #fypシ゚viral #funnyvideos

مُــــوـدِى
مُــــوـدِى
Open In TikTok:
Region: EG
Sunday 17 November 2024 18:39:10 GMT
7136
232
3
51

Music

Download

Comments

hager_326
𝓰𝓸𝓰𝓸 🐣💝 :
نفسي احس بالاهتمام 🥲❤️‍🩹
2024-11-18 10:13:02
2
s.ahmad1392004
s. ahmad :
🥰🥰🥰🥰🥰
2024-11-17 18:42:57
1
dyh9qabfgdza
shahd elhsenne :
❤️❤️❤️
2024-12-06 22:52:56
0
To see more videos from user @m_mody_a, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Surah Al-Isra || Ayah 31-33 31. Waarabu walikuwa na desturi ya kuwaua watoto wao kwa kuhofia ufukara; ndipo Mwenyezi Mungu akawakataza ujahili huu. Hii yote inatokana na kukosa kumwamini Mwenyezi Mungu. Ikiwa hata sisimizi ana riziki yake kwa Mwenyezi Mungu, vipi mtu akose riziki yake! 32. Zinaa ni miongoni mwa mambo maovu zaidi yanayoibomoa jamii, kwa sababu zinaa ni dhulma kwa kuidhulumu nafsi. Mwenyezi Mungu hapa amesisitiza sana uharamu wa zina kwa maneno matatu; Kwanza neno msikurubie; yaani msifanye hata utangulizi wake; kama mwanamke kutembea uchi, kuangalia filamu chafu n.k Pili kutumia neno uchafu tatu neno njia mbaya. 33. Sharia zote za duniani zimehifadhi damu ya mtu kumwagika bure bure tu, lakini Uislamu umelipa uzito mkubwa suala hili; pale ulipozingatia kuua ni katika madhabi makubwa, na mtendaji kudumu motoni na kwamba mtu akiua mtu mmoja ni kama kwamba ameua watu wote. Wakati huo huo umetoa ruhusa kulipiza kisasi; ili kuweza kulinda damu isimwagike, lakini kisasi ni kwa yule aliyeua tu, sio kuua watu wengine ambao hawakuhusika, hata kama ni ndugu zake au kabila lake; kama wanavyofanya majahili. Imam Ali (a.s) alipopigwa panga na Ibn Muljim alisema
Surah Al-Isra || Ayah 31-33 31. Waarabu walikuwa na desturi ya kuwaua watoto wao kwa kuhofia ufukara; ndipo Mwenyezi Mungu akawakataza ujahili huu. Hii yote inatokana na kukosa kumwamini Mwenyezi Mungu. Ikiwa hata sisimizi ana riziki yake kwa Mwenyezi Mungu, vipi mtu akose riziki yake! 32. Zinaa ni miongoni mwa mambo maovu zaidi yanayoibomoa jamii, kwa sababu zinaa ni dhulma kwa kuidhulumu nafsi. Mwenyezi Mungu hapa amesisitiza sana uharamu wa zina kwa maneno matatu; Kwanza neno msikurubie; yaani msifanye hata utangulizi wake; kama mwanamke kutembea uchi, kuangalia filamu chafu n.k Pili kutumia neno uchafu tatu neno njia mbaya. 33. Sharia zote za duniani zimehifadhi damu ya mtu kumwagika bure bure tu, lakini Uislamu umelipa uzito mkubwa suala hili; pale ulipozingatia kuua ni katika madhabi makubwa, na mtendaji kudumu motoni na kwamba mtu akiua mtu mmoja ni kama kwamba ameua watu wote. Wakati huo huo umetoa ruhusa kulipiza kisasi; ili kuweza kulinda damu isimwagike, lakini kisasi ni kwa yule aliyeua tu, sio kuua watu wengine ambao hawakuhusika, hata kama ni ndugu zake au kabila lake; kama wanavyofanya majahili. Imam Ali (a.s) alipopigwa panga na Ibn Muljim alisema "Enyi wana wa Muttwalib! Msimwage damu ya Waislamu kwa kuwa ameuawa Amirul-muminin. Angalieni sana msimuue kabisa yule aliyeniua. Ikiwa nitaufa kwa dharuba yake hii, basi naye ni dharba kwa dharba, wala msimkatekate." Msomaji @imamhassansaleh #nurunaimani #nuruyetu #quran #UmmahMoja #Tiktoktanzania #mawaidha_kenya #dailyreminder #nurunaimani

About