kafa kama kanumba..jamani zaeni hata katoto kamoja..anything can happen...unaeza gongwa hata na basket ukafa hapohapo..
2024-11-21 16:10:23
3
thedonfadher :
HIZI NI AKILI MGANDO KUOLEWA SIO BAHATI NI UTAYARI,HALAFU SIO KILA BINADAMU ANATAKIWA KUZAA AU KUZALISHA...#REST EASY HUSTLE
2024-11-21 11:33:54
237
teddymwanamkejasiri :
Ni heri ulale peke yako,kuliko kufa ukaacha watoto wanateseka,USIZAE KWA KUHOFIA UTAKUFA BILA MTOTO,
2024-11-21 19:04:34
100
erick john butto :
jamani dada zangu zaaeni hata mtoto mmoja maana ukiwa huna mtoto ukifa siku 3 ukisha fukiwa sitori yako inakuwa imeisha na tayali watu wanakusahau
2024-11-21 19:58:59
18
Dereva Mtoto Tz :
alijiona pisi Kali atolewa mda wowote atakao taka hakujua mawazo ya mungu ona Sasa anapotea kama upepo ata Agizo la mungu hajatimiza jamn zaen watoto angalau ata Hilo tutumize ahadi za mungu ata moja
2024-11-22 10:12:17
18
Ruth Lissu :
ameacha nini sasa begi la nguo
2024-11-21 12:57:56
7
💥💥Hope lee🤍🧚♀️💃🍁🌼💦🗯 :
jaman mbona 88 au ni kutokuona vizuri jaman kama ni wa 88 jsma alikosez sana kutokuzaa jzman neema
2024-11-21 15:23:05
6
mercy :
1988 na hana mtoto alikuwa anasubiria amee pembe ndio azae
2024-11-22 14:00:18
16
Babake Giburrily :
Ameenda na mayai yake atapikia chips
2024-11-22 07:54:19
1
🦋Butterfly girl🦋❤️ :
jmn vp kuhusu mdogo wake kashapatikana au bado
2024-11-21 13:38:21
16
barbie_belle🥰 :
Yan wadada walivokua hawana akili kilichowasikitisha n neema kufa bila mtoto wanawake wanaakili fupi jmn Kila mtu na malengo yake sio lazima tufanane waliozaa wamezaa ambao hawakusaa fresh tu
2024-11-21 19:45:14
56
pendomariki348 :
huyu dada hakutaka kuolewa alibeba majukumu ya familia kama baba Mungu ampe pumziko la milele
2024-11-21 19:42:45
271
witness ibanza :
jaman zaeni mapema wapendwa Ata uache mtoto🥺
2024-11-21 13:31:12
12
H Boy. :
Nenden mkazaane mkalijaze taifa sherehe kuu za binadamu ni 3 kuzaliwa,ndoa,kifo. Marehemu ameacha alama mbaya Angezaa mtoto hata mmoja ila km alikua na matatizo ya kisfya tusilaumu apumzike kwa amani
2024-11-22 02:54:32
4
susannjuki708 :
labda amefanya abortion kaa mara tano.
2024-11-22 15:25:04
3
user56711869862911 :
Mungu wangu bado zamu yangu duh kumbe na yeye hakuwa na mtoto kama mm dah Mungu amrehemu
2024-11-21 18:49:04
6
Alex Levi Ekisa :
Those lamenting, does having a kid or getting married prevent death. People choose to live a life that makes them happy not to please the public.
Rest in Peace
2024-11-22 06:01:43
190
black mamba :
yani marehemu, alizaliwa, akazurura, akafa😳,,,, ukipata nafasi zaeni jamani😳
2024-11-22 12:04:29
8
Itesh :
kwani kuolewa ni bahati au ni uamuzi
2024-11-23 05:57:57
34
To see more videos from user @mc_danny_fm, please go to the Tikwm
homepage.