Yaani huyu baba Kila siku yeye ni mtu wa kulalamika na kulaumu tu, hajawahi kuliona njema hata Moja lililofanywa ndani ya nchi hii, uchu tu wamadaraka utadhani ataweza kukikalia hicho kiti Cha rais
2024-12-11 19:26:38
1
classic boy_Tz :
nurses
2024-12-22 20:43:55
0
sekani164 Kenya :
Uyo sio raisi,ameshikilia tu
ndo maana hana hekima.
2024-12-24 18:06:23
0
zakariamwita93 :
WW urishakuwa mbuwa
2024-12-15 19:49:59
0
Nuru Daud :
HII VIDEO ILITAKIWA ITOSHE KUONESHA KEAMBA LISSU NI MTU GANI KWA NNCHI HII..... WA TZ TUSIWE WA KUDANGANYWA NA MANENO, KAMA WEWE NI MTANZANIA NA BADO KATI YA LISSU NA MAGUFULI UNASHINDWA ONA ADUI 💔
2025-01-25 10:24:17
0
Yohana_Philipo :
naomba kazi ya udereva
2024-12-28 11:55:12
0
lil_Akram. :
mtu aliekuepo katka njia sahihi hakosi maadui wengi
2024-11-29 01:18:05
0
BKAD WY NEYYO :
unae somahii comment kumalamama ako🤣
2024-11-23 14:21:28
4
kidamiharo :
mbona huyu tundulisu haeleweki mala samia mbaya mala magufuri mbaya nani mzuri
2024-11-24 14:08:47
9
Uncle Dericky :
MZEEE RUDI UTURUKI BONGO UMESHACHEMKA HATUITJI SERA ZKOO
2024-11-23 17:48:13
5
amin :
naomba niwajibu wote mnaomwambha lissu ni mbaya wote hamna akili kabisa mmefungwa akili na rais wenu
2024-11-23 22:49:09
4
afsatbrofero :
😂lisuu mmoja maaskar 150😂😂😂
2024-11-24 09:02:58
4
paskali jumbe :
we ndo wa ovyo
2024-11-25 12:55:21
3
Peter Ndichu :
MTUNDULLISO WEWE HUFAI KUWA KIONGOZI WA TAIFA LA TANZANIA, WEWE SIASA ZAKO NA MANENO YAKO HAYANA MSINGI. HUWA UNA PIGANA MPAKA NA UKWELI HATA UZURI
2024-11-25 07:14:56
3
mp philimon🇹🇿 :
Magufuli alitukomaza sana kiaskari kwasababu kabla hajaingia madarakani watu walikua wavivu sana tundulisu wewe ni tako la nyani huna point