@dyson.siwelwe1:

Dyson Siwelwe
Dyson Siwelwe
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 25 November 2024 19:00:42 GMT
161371
5044
200
1017

Music

Download

Comments

kasubi95
Kasubi :
hongera sana
2024-11-26 01:07:11
3
renn2573
Renn :
hongera saaana brother
2025-01-17 18:58:25
0
william_furniture
William :
big up
2024-11-26 15:21:13
1
saidmohd0
Said Mohd :
masaid big up sana, tupo vzr. I see me magical 😇
2024-11-28 16:10:22
1
graduate.with.pla
Graduate with plan B² in Mind :
hongera sana brother
2024-11-25 19:49:45
2
felixmushi581
felixmushi581 :
nice
2024-11-30 07:56:44
0
user8931718931043
user8931718931043 :
simu
2024-11-26 02:00:23
1
tazajbbq.pizza
tazaj123 :
hongera sana
2024-11-26 00:26:40
2
omardaudtz
Omar Daud129 :
Kitu cha kujua haiongelewi; tuambie hizo taa material gani unatumia nyenzo zipi kutuambia historia yake sie inatusaidia nini hamna POINT hapa
2024-11-26 08:05:41
11
nyaki685
nyaki roho safi :
watu wamaana kama hawa husikii wakiongelewa ila mambo yakijinga yanapewa muda sana wakuzingumziwa
2024-11-26 12:42:53
24
glasswyne
Baba Kendrick Skyler :
tuachane na utengenezaji wa taa,sa helement ni yanini!!?
2024-11-26 06:17:19
5
mekumeku88
meku meku :
taa ya gari yoyote anatengeneza? tupatie namba za simu
2024-11-26 00:28:58
11
dr.kihunga
Dr.kihunga :
NB:-AKILI NI TOFAUTI NA ELIMU HIVYO KATIKA MAISHA TUMIA AKILI NA SIO ELIMU ILA ELIMU IKUSAIDIE KUFUNGUA AKILI. wenye akili watajua
2024-11-25 22:35:58
11
abtwalibuhamisi
tambwe :
safi sana ila usiwe mchoyo WA iyo elimu
2024-11-26 18:47:12
7
abouzaki_tamim7
abouzakitamim7 :
KAMPE HIO HELA SASA UONE KAMA HIO TAA UTAIPATA KUMMKE! MBONGO MPE HELA ANAACHA KAZI😂😂😂😂
2024-11-26 13:11:23
4
__the504__
@The504🤔 :
Inshaallah mungu atakufanyia wepesi hustle man👨
2024-11-25 22:38:56
6
zanzibargentle
zanzibargentle :
njoo zanzibar uone mlaunga unga tuu ndio anafanya hiyo shughuli na yupo vizuri zaidi ya hivyo😁
2024-11-26 20:08:39
3
guidoguy2
Guy :
nenda UDART wana mabasi mengi na taa hazina .
2024-11-26 03:19:10
5
nengajosephnenga
nenga :
yuko tabata sehem gani
2024-11-26 09:09:13
3
tawaamuro
tawaamuro :
Ofis ni wap
2024-11-26 04:13:42
2
godfreykayange2
godfreykayange :
shida wabongo kwa kuiga yaan hapo mwenzao kaangaika kifikr wao wataiga
2024-11-26 06:27:56
2
ggabini
GEORGE GABINI :
Vijaa wengi wangejua jinsi ya kumshukuru Mungu kama wewe, wangekua mbari. Nitakuombea upako nyota yako ingale
2024-11-25 19:43:21
3
user8613266565884
user8613266565884 :
Tuna omba namba take
2024-11-26 05:12:20
2
djweckytz
djweckytz :
Toa namba ya sm mi nataa zangu mbili
2024-11-26 16:06:05
3
petermsabi
petermsabi :
Mimi ni mmoja ambaye alishawahi nitengezea taa za noah
2024-12-01 20:02:43
1
To see more videos from user @dyson.siwelwe1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About