@bongozozo_tanzania: Tusipoteze watoto wetu. Uraia pacha kwa faida ya Tanzania.

Bongozozo
Bongozozo
Open In TikTok:
Region: CO
Friday 29 November 2024 16:41:44 GMT
233308
12470
612
195

Music

Download

Comments

abdallahkhatibu96
MR.X :
Serikali wapeni uraia hawa vijana wamelala kwenye tumbo la Mtanzania wawe huru na kila kitu..Baba yao Kafanya makubwa kwa uzalendo wa Taifa Letu kuliko hata mawaziri wa Utalii wote waliopita..
2024-11-30 06:17:50
316
r_ochu17
KIBACHA universe :
mnatutangaza sana. serikali yetu iwaangalie kwa jicho la 3
2024-11-30 02:36:22
67
raregemtz
raregem :
Ila kweli Tanzania wangeruhusu uraia wa pande mbili.
2024-11-29 23:04:31
26
princesamtz_
Samuel Shukur 🤴 :
Hii ngoma kali sana nimependa sana chorus ya bongozozo
2024-11-29 17:54:30
26
amaylail
Hehe :
hy mtoto w kiume kafanan na baba ake balaa
2024-11-29 22:08:06
16
heeram_02
Hidaya :
nilivo emotional sijui kwann naliaa
2024-12-01 11:10:22
11
zhunmama1
zhunmama🇹🇿💍🇨🇳 :
imenibidi nicheke kwanza nlivoskia huu wimbo, Lakin nimefikiria kwa undani zaidi it's so sad🥺😢 kwanini wasipewe uraia wao jamani kwasababu mzaziwao mmoja ni mtz HAKI sawa kwa wote wasibaguliwe jaman
2024-11-30 19:44:02
11
clay_soil_
cley soil :
ila bongozozo😅😅😅
2024-11-29 17:37:11
10
user68044347071522
sweet B :
wapen uraia jaman
2024-12-25 05:48:38
8
njooleoking
creative designer :
Tanzania government should take this to consideration
2024-12-12 20:18:40
8
wil_shades
Desmond_jr :
I can't stop rewatching this, great song
2024-12-01 08:01:13
7
frankdimiango1
frankdimiango1 :
hahaha 🤣 hivi bongozozo uko sawa kweli dah kichwa chako ww
2024-11-29 21:36:17
7
charmiyeye
xaj :
Dual Citizen ship is very crucial #tanzaniaimmigration
2024-12-31 07:01:40
5
faith_thenics
faith_thenics :
Kitu ambacho watu weusi hatutakiwi kukifanya ni kuamini ngozi nyeupe ya Aina yoyote hata wakoloni walitumia akili sana kuingia Kwa wa Africa
2024-12-31 03:50:08
5
roseygama
WOMEN OF DESTINY INT :
ina linda nini😁 nchi imebaki mashimo na giza tu..halafu usalama gani msema na nchi ina jeshi thabiti😅😁 linaopopeka sema katiba ibadilishwe ubinafsi tuuu
2024-12-30 18:53:30
5
monicakimori
Monicakimory :
nilikua emotional then nikacheka baada ya bongozozo kuimba.. 😂😂😂 but anyways Tanzania 🇹🇿 inabidi tubadilike..
2024-12-14 11:33:34
5
big35903
BIG :
Onesheni uzalendo,chagua moja, kusuka au kunyoa. Usibabaike na uropean passport privilege
2024-11-29 18:24:06
5
watu.huru
Watu Huru :
Dual citizenship si salama kwa usalama...chagua moja wewe Mtanzania au si Mtanzania...Angalia leo America wanasiasa wenye uraia pacha kati ya America na Israeli wamekuwa vibaraka wa Israeli.
2025-01-01 22:53:15
4
vaeenmkorea
Vaeen Mkorea :
Give them hawa wanatuwakilisha vyema sana hasa baba @bongozozo hakuna mtu anatembea duniani nankuitaja Tanzania kama father Bongozozo 🫡
2025-01-01 15:20:37
4
h_entropy
H_entropy :
Serikali inaamini kuwa uraia wa nchi moja unaimarisha uzalendo, uaminifu, na uwajibikaji wa raia kwa taifa lao.
2024-12-28 12:15:58
4
s1236589
User345781710🇰🇪 :
ebu mtanzania afanye hivi kwao,utakufa vibaya nakuhurumia 🤣🤣🤣🤣
2024-12-23 23:54:29
4
kivuduha
king Kivu :
watoto wamefanana na babaao mbaka akili 😂🤣🤣🤣🤣🤣
2024-12-19 07:10:47
4
janeth69732
janeth :
watakupa uraia usiwaze
2024-12-15 16:18:38
4
ramxanecho
ramxanecho :
this z a true definition ya neo colonialism... now sounds like it's forced
2024-12-12 17:52:13
4
moroland32
maulid boy :
bongo zozo ni mtanzania bhana wew kaa rekax nami nakuja oa jesca usijali
2024-12-01 07:42:01
4
To see more videos from user @bongozozo_tanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About