@truongdinhhoangboxing: Gần 2 năm xa sàn đấu, Lần đầu xem lại trận đấu này ở góc quay cận sàn đài và tiếng động rõ như vậy. Trương Đình Hoàng 🇻🇳vs🇰🇷 Dea Hyun Baek.#tiktok #truongdinhhoang #boxing #tdhboxingclub

Trương Đình Hoàng
Trương Đình Hoàng
Open In TikTok:
Region: VN
Thursday 12 December 2024 07:45:01 GMT
867933
32188
191
202

Music

Download

Comments

tn49c
1 9 9 X :
Anh ơi tên anh đưa vào cả bài hát rồi kia 🤣” đấm boxxing như Trương Đình Hoàng “
2024-12-12 08:02:40
256
caigiamayphaitra
lỗi tại anh🤍 :
tương lai e sẽ đấu với a🥰
2024-12-12 07:48:31
56
thanhtoan12123
Thằng Da Đen🤟🏿🙇 :
em sẽ cố gắn luyện tập để như anh👊
2024-12-12 08:26:40
21
tn.tuyn.phm
Tuyển🤡 :
kinh nghiệm chiến đấu ở các sàn đấu
2024-12-12 08:19:27
3
n.vk499
Vĩnh khiêm :
Em sẽ cố luyện tập để giống anh
2024-12-12 07:57:21
10
dacle2286
Đắc Lê :
Phong cách quá ngầu a hoàng ơi
2024-12-12 08:16:59
9
oyyyshibaa
gia bảo :
đỉnh quá chú 😳😳😳
2024-12-12 08:18:26
6
nguyendanh19082004
đá lưỡi ghệ bạn :
anh giải nghệ chưa
2024-12-12 12:03:11
0
username082257
username082257 :
Thì ra đấm boxing như là Trương Đình Hoàng là đây 😂
2024-12-12 10:00:21
1
www.tiktok.com.docthoai
Ngọc Tài@@ :
Có cách nào mà mắt a nhìn hoài ko chớp hay vậy a,nhìn chiến thật👍
2024-12-12 10:57:26
1
bancotaima04
Đình Ninh McMregor :
đánh bình tĩnh ghê 🥰
2024-12-12 09:51:26
1
kelvinpham666
Kelvin Pham :
trặn này e xem trực tiếp luôn nè a kkk quá phê
2024-12-12 08:47:55
2
aduemgiang0
𝓐𝓭𝓾 𝓮𝓶 𝓰𝓲𝓪𝓷𝓰 🧸 :
cố lên ah nhé🥰
2024-12-12 14:08:06
1
quocthai0209208
. :
Ai mà đụng vào người em 🗣️
2024-12-12 14:10:20
1
httuyendzso1t.gioi
Httuyendzso1tgoi🎉🎉 :
hihi
2024-12-12 09:34:25
1
vuxxqucqun27
ngủ giờ hành chính. :
ơ dc khóa cổ ạ
2025-02-01 15:55:59
1
kimphilong1
Long ghét ăn rau👿 :
chờ em 3năm nhé anh 🥊👊🏻🥊
2024-12-12 13:58:06
2
nieygem1
Gentra Nie :
ko ai thắng được ah đâu.ah rất mạnh 😏
2024-12-12 10:08:14
1
gkgoeixis
dương :
này.là chỉ dùng 1 môn võ hay đánh kiểu j cx. đc v ạ
2025-01-30 14:22:31
0
gio9335
Gió Hwing ✌️ :
khỏe quá anh ơi
2025-01-20 14:12:17
0
longphanthanh38
Cò Nổ :
mũi anh Hoàng lúc này vẫn cao
2025-02-08 13:57:59
0
qtmedvnbuonmathuot
Thiết bị spa BMT (QTmed.vn) :
Phê quá anh
2025-03-04 08:09:57
0
bt.1193
N :
Đầu anh lạnh quá 🥰
2025-08-19 11:29:03
0
khuynsruk
𝙆𝙝𝙪𝙮𝙣 🔥✈️ :
Đấm nhau mà sao lại ôm đầu chi zậy anh trường đình hoàng
2025-03-11 20:46:01
0
phdtrollmeme12
-.hwytrxn09.-- :
anh thử gạ fury đánh đi ạ
2024-12-12 11:07:22
0
To see more videos from user @truongdinhhoangboxing, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mwezi April mwaka 1974 Steve Jobs (akiwa kijana wa miaka 19 tu) alifunga safari ya MIEZI 7 toka Marekani kwenda KUHIJI India na ili kuonana na kujifunza SIRI ZA KIROHO kwa Guru mmoja wa India aliyeitwa NEEM KAROLI BABA (jina jingine MAHARAJ-JI). Safari hii aliianza baada ya kusoma kitabu (BE HERE NOW - cha Ram Dass) ambacho kiliongelea kanuni za mafanikio za Wahindi na kuorodhesha nguvu za kiroho na mafundisho ya NEEM KAROLI BABA. Bahati mbaya alipofika India aliumwa kwa hiyo akasimama safari kwanza mpaka alipopata nafuu… na pia kwa sababu ya maisha ya miaka hiyo na kukosa usafiri wa haraka kama leo na mawasiliano alipofika India na kuanza kusafiri mpaka kufika huko milima ya Himalaya na kufika eneo husika wakakuta temple ile haina watu na kumbe NEEM KAROLI BABA alikuwa amefariki mwaka wa nyuma yake mwezi September yaani September 1973! Steve Jobs alikuwa very disappointed. Alihisi atakosa nguvu za KIROHO alizoenda kusaka! Lakini kwa namna nyingine alizipata! Story short alirudi Marekani akiwa alishanyoa nywele na akiwa anaamini vitu vipya na ikiwemo MINIMALISM na ZEN BUDDHISM na mengine mengi ikiwemo YOGA. Roho ile na maarifa aliyopata huko India ndivyo vilipelekea TAREHE 1 APRIL, 1976 akazindua kampuni ya APPLE na leo ni GIANT COMPANY duniani.  Miaka 11 iliyopita (2015) Mark Zuckerberg akiwa kwenye mkutano na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alimwambia huyo Waziri Mkuu wa India kuwa mafanikio ya Facebook yana mchango wa India kwa sababu alipokuwa ameanzisha Facebook ikiwa Ina struggle sana kama kampuni changa alienda kupata ushauri kwa Steve Jobs nini cha kufanya na Steve Jobs akamwambia aende India kwenye ile Temple (KIACHI DHAM ASHRAM) na Zuckerberg akaenda HIJA kwenye hiyo TEMPLE pia na alitoka na nguvu za KIROHO zilizomfanya kuwa clear na VISION yake na leo META ni giant among the giants of the world.  Wakati nasoma MEMOIR ya Phil Knight (SHOE DOG) in 2020 nili take note kuwa safari zake za Japan na Greece na sehemu zingine enzi anaanzisha BLUE RIBBON then NIKE zilihusisha mambo ya KIROHO. Na kama nilivyosema kwenye video hata neno NIKE ni jina la muungu wa kigiriki. So usishangae kuona brand imesimama. BRAND ZOTE KUBWA zina ROHO nyuma yake hapa duniani. Jipange. Dunia inaendeshwa kwa ALTARS. Lazima ubadilishane MALI kwa ROHO. Sisi wakristo tuna andiko maarufu sana: “BARAKA YA BWANA HUTAJIRISHA, WALA HACHANGANYI HUZUNI NAYO” (Mithali 10:22) So kwa Mungu wangu utajiri source yake ni BARAKA YA MUNGU. Hiyo ndo nitatafuta. Siyo pesa wala umaarufu. Pesa na umaarufu ni MATOKEO ya wapi ulipeleka ROHO. Dunia ina miungu mingi na Mungu hajataka miungu isiwepo. Lengo lake ni ili umkubali yeye out of CHOICE siyo kwa kuwa huna choice. So jua miungu ipo mpaka mizimu na shetani yuko LIVE kabisa na Mungu wa kweli yupo na wote WANAFANIKISHA. Ni juu yako ku chagua. Ila utakayeamua AKUFANIKISHE umechagua na kumpa roho yako!  Hakuna katikati. So usitamani tu kutajirika. Utajiri unakuja na POWER na INFLUENCE. Dunia haiwezi kukuruhusu uwe na hivyo vitu viwili kizembezembe! Lazima uwe na spiritual GROUND.  Mafanikio makubwa yote kampuni zote kubwa na MATAIFA MAKUBWA YOTE kuna mahali KIROHO wame exchange something far more valuable. Teknolojia zote serious zenye impact hazijatokana na akili tu bali watu waliokubali kufungua milango ya KIROHO ili ulimwengu mwingine upate access ya ku control na ku influence dunia. Ndo maana unaona kila mtu anataka vitu vya BRAND FULANI siyo bure kuna nguvu kubwa ya KIROHO. Unaona kuna watu wana nguvu kuliko SERIKALI.  Lengo langu si kukuogopesha bali kukufungua macho ujue na UJIANDAE. Unatakiwa kuwa vizuri na Mungu wa mbinguni. Ukiamua kuwa Mungu si muhimu basi ndo utapata kila kitu lakini ROHO utakuwa umeuza long time. Yesu akasema RHETORICALLY kuwa Itamfaa nini mwanadamu akiupata ulimwengu wote kisha akaipoteza nafsi yake?  Kuna watu wana Mali ili walikosea kuzipata. Zinawatesa. Usiwe miongoni mwao. Jua kusudi lako. Mtafute Mungu. Then you’ll be good to go! Semper Fi, Mr. Muhozya
Mwezi April mwaka 1974 Steve Jobs (akiwa kijana wa miaka 19 tu) alifunga safari ya MIEZI 7 toka Marekani kwenda KUHIJI India na ili kuonana na kujifunza SIRI ZA KIROHO kwa Guru mmoja wa India aliyeitwa NEEM KAROLI BABA (jina jingine MAHARAJ-JI). Safari hii aliianza baada ya kusoma kitabu (BE HERE NOW - cha Ram Dass) ambacho kiliongelea kanuni za mafanikio za Wahindi na kuorodhesha nguvu za kiroho na mafundisho ya NEEM KAROLI BABA. Bahati mbaya alipofika India aliumwa kwa hiyo akasimama safari kwanza mpaka alipopata nafuu… na pia kwa sababu ya maisha ya miaka hiyo na kukosa usafiri wa haraka kama leo na mawasiliano alipofika India na kuanza kusafiri mpaka kufika huko milima ya Himalaya na kufika eneo husika wakakuta temple ile haina watu na kumbe NEEM KAROLI BABA alikuwa amefariki mwaka wa nyuma yake mwezi September yaani September 1973! Steve Jobs alikuwa very disappointed. Alihisi atakosa nguvu za KIROHO alizoenda kusaka! Lakini kwa namna nyingine alizipata! Story short alirudi Marekani akiwa alishanyoa nywele na akiwa anaamini vitu vipya na ikiwemo MINIMALISM na ZEN BUDDHISM na mengine mengi ikiwemo YOGA. Roho ile na maarifa aliyopata huko India ndivyo vilipelekea TAREHE 1 APRIL, 1976 akazindua kampuni ya APPLE na leo ni GIANT COMPANY duniani. Miaka 11 iliyopita (2015) Mark Zuckerberg akiwa kwenye mkutano na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alimwambia huyo Waziri Mkuu wa India kuwa mafanikio ya Facebook yana mchango wa India kwa sababu alipokuwa ameanzisha Facebook ikiwa Ina struggle sana kama kampuni changa alienda kupata ushauri kwa Steve Jobs nini cha kufanya na Steve Jobs akamwambia aende India kwenye ile Temple (KIACHI DHAM ASHRAM) na Zuckerberg akaenda HIJA kwenye hiyo TEMPLE pia na alitoka na nguvu za KIROHO zilizomfanya kuwa clear na VISION yake na leo META ni giant among the giants of the world. Wakati nasoma MEMOIR ya Phil Knight (SHOE DOG) in 2020 nili take note kuwa safari zake za Japan na Greece na sehemu zingine enzi anaanzisha BLUE RIBBON then NIKE zilihusisha mambo ya KIROHO. Na kama nilivyosema kwenye video hata neno NIKE ni jina la muungu wa kigiriki. So usishangae kuona brand imesimama. BRAND ZOTE KUBWA zina ROHO nyuma yake hapa duniani. Jipange. Dunia inaendeshwa kwa ALTARS. Lazima ubadilishane MALI kwa ROHO. Sisi wakristo tuna andiko maarufu sana: “BARAKA YA BWANA HUTAJIRISHA, WALA HACHANGANYI HUZUNI NAYO” (Mithali 10:22) So kwa Mungu wangu utajiri source yake ni BARAKA YA MUNGU. Hiyo ndo nitatafuta. Siyo pesa wala umaarufu. Pesa na umaarufu ni MATOKEO ya wapi ulipeleka ROHO. Dunia ina miungu mingi na Mungu hajataka miungu isiwepo. Lengo lake ni ili umkubali yeye out of CHOICE siyo kwa kuwa huna choice. So jua miungu ipo mpaka mizimu na shetani yuko LIVE kabisa na Mungu wa kweli yupo na wote WANAFANIKISHA. Ni juu yako ku chagua. Ila utakayeamua AKUFANIKISHE umechagua na kumpa roho yako! Hakuna katikati. So usitamani tu kutajirika. Utajiri unakuja na POWER na INFLUENCE. Dunia haiwezi kukuruhusu uwe na hivyo vitu viwili kizembezembe! Lazima uwe na spiritual GROUND. Mafanikio makubwa yote kampuni zote kubwa na MATAIFA MAKUBWA YOTE kuna mahali KIROHO wame exchange something far more valuable. Teknolojia zote serious zenye impact hazijatokana na akili tu bali watu waliokubali kufungua milango ya KIROHO ili ulimwengu mwingine upate access ya ku control na ku influence dunia. Ndo maana unaona kila mtu anataka vitu vya BRAND FULANI siyo bure kuna nguvu kubwa ya KIROHO. Unaona kuna watu wana nguvu kuliko SERIKALI. Lengo langu si kukuogopesha bali kukufungua macho ujue na UJIANDAE. Unatakiwa kuwa vizuri na Mungu wa mbinguni. Ukiamua kuwa Mungu si muhimu basi ndo utapata kila kitu lakini ROHO utakuwa umeuza long time. Yesu akasema RHETORICALLY kuwa Itamfaa nini mwanadamu akiupata ulimwengu wote kisha akaipoteza nafsi yake? Kuna watu wana Mali ili walikosea kuzipata. Zinawatesa. Usiwe miongoni mwao. Jua kusudi lako. Mtafute Mungu. Then you’ll be good to go! Semper Fi, Mr. Muhozya

About