Mimi nilienda kwa mjomba angu mtoto wake akashika nyundo anatak anipige nayo kichwani mama aake akaniambia nisimkatalie atalia😂😂😂😂
2024-12-14 10:23:13
298
Enjoy ❤️😅😜. :
kama unamkubali mboneke like hapaa🤣
2024-12-13 19:55:47
579
AYAGIRWE ARNOLD :
Hao watoto hawana adabu mjomba🤣
2025-02-07 20:13:23
0
girl :
😂😂😂iiishantokea nilienda ugenini kwa wenye hela zao sio sisi tunaolala na mitungi ya gesi yule mtoto alikuwa anandandia mgongoni uku analuka Luka nkakapa kisino kimoja takatifu akaanza kulia alivokuja mama ake nkamwambia kadondoka kakakasirika kale katoto kakaenda kuchomoa nyaya zote zativii na kumwaga maji Mimi nkaaga jmn naondoka ata chakula skusubiri 😄
2024-12-13 21:23:40
98
mjomba.tz :
jaman kufirwa laha
2024-12-14 13:32:16
4
khalifa🇰🇪 :
Kuna wakati mtoto alitaka kunidunga kisu wakaniambia nikimkataza atalia
😂😂😂😂😂😂
2024-12-14 17:48:55
33
Ticko noah :
wanangalia na limjomba lenyew lilivo
2024-12-14 07:50:28
9
Jaxson Dach :
wanaangalia na mtu mwenyewe sio watoto wa dada hata ingekua wa boss nitakacho wafanya nahisi siku hyo nitalala police 🥺
2024-12-14 07:07:33
10
Makulaya :
kama uipendi CCM gonga like
2025-02-02 09:35:00
1
happyremmysoka :
mimi ilinitokea huyo mtoto alikuja ananichezea chezea tu kiukorofi nikamwambia we pumbavu nini embu nenda kasome weee wazazi wake kila nikikaa utasikia humu ndani hatufundishi watoto matusi kama unatabia za matusi ni vyema ukaondoka basi na mi nikaona nivyema nikaondoka maana ningeibua lingine sipendi kulea watoto kijinga jinga.
2024-12-14 22:45:15
16
Chimama🥰❤️ :
Ngekuwa mimi apo ningewafinya wote wangekaambali na mimi mamaee😅😅😅😅😅😅😅
2024-12-14 05:57:00
3
faidha :
Hahaa😂😂 ilinikuta. kwa bosiwangu mtoto alikua ana mtupa mdoli chini makusudi naa mbiwa niokotee nisipo muokota analia bosi akiskia kazisina. basi ilikua ana tupa minamkota ndofurahayake daa 🙏🙏
2024-12-14 04:36:17
13
ochu_jr 1112 :
duh
2024-12-14 15:54:49
2
user2796567967670 :
skia lafudhi ya huy dogo kabila gani ety
2024-12-13 20:39:11
7
Baba Kendrick Skyler :
alafu unasikia dada yako asema "usiwapige hao watalia"
2024-12-13 20:44:13
92
shizzzy :
Watakutia mpk vidole ao wachekee tu
2024-12-14 11:08:35
3
Nobert Kavishe :
mimi nilimpiga mtoto wa baba mkubwa na jembe kichwani kidogo niue, eti katoka mjini anakuja kutunynyasa kijijini kisa wa kishua
2024-12-15 08:45:45
15
Jos:p :
At age of the3 yrsold all my parents were no more bt am now 33yrsold with 3 kids i went through alot
2024-12-16 06:45:56
5
KA MWISHO_VICTOR🧢🗣️ :
🤥 ALIE sikia Mjomba zima simu TV unapata Moto. au NI Mimi tuu
2024-12-13 19:57:40
11
katoto ka alfu mbili :
ma hans boy wote sasa rasmi nina acount yangu naomba mje mnifollow katoto cha alfu mbili
2024-12-20 04:35:48
1
Frank Mashauli :
ila mboneke asante bhana kuna wakati unatufanya meno yawe nje wapambanaj
2024-12-15 06:15:40
5
stinamars23 :
uyo alovuta ndomo sasa😂
2024-12-14 10:50:20
4
Grammy dora offishall :
saa zingine unahepa vitu zingine..
unajipeleka uko kufanya nini ¿
2024-12-14 08:06:38
20
Alfan Fataa :
mi hawawezi kunifanyia ujinga huo
2024-12-14 00:23:45
3
rajv :
Aisee kanikumbusha mbali
Nilivyokua mdogo nilikua ninatabia ya kwenda Kwa shangazi yangu ambae Alikua maisha mazurii kwake kulikua na watoto wawili niliofanana nao umri
Basi kila nikiendaga wale wtt
2024-12-14 10:19:33
3
To see more videos from user @mcmboneke_comedian, please go to the Tikwm
homepage.