@agalusfarm: Dalili za virusi kwa kuku

AGALUS TV
AGALUS TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 19 December 2024 08:53:53 GMT
201072
3011
107
741

Music

Download

Comments

sebastiankilembe1
sebastiankilembe1 :
Njia ya kienyeji ni hii apa chukuwa kitunguu swaum tanga wiz twanga wawe kee kwenye maji kisha minyia ndim wape alie zidiwa mnyweshe kesho mpya
2024-12-19 15:34:52
28
ustadhaty0
Amiraty :
vipi akiwa ananyonyoka shingoni
2025-01-29 18:32:22
1
johnnytundanny
Johnny Tundanny :
allow saving plz
2025-02-02 13:19:32
2
alvan0966
Dorcas :
🙏🙏🙏 thanks
2025-01-23 11:00:00
1
user3852955669137
[email protected] :
aisee wang walikuw San huu ugonjw sio pow walianz daw lkn weng walikufa sana
2025-01-25 04:59:30
1
ziemcontent
ziemcontent :
Dawa rahisi ni kumchinja tuu 😂😂😂
2025-08-24 18:52:42
1
abdunachina
Abdu Nachina :
had kuku wangu alkufa kwa ugonjwa huwo alaf alianza kutoka damu puani inasababshwa na nn
2025-02-23 20:33:07
1
mimah_hat
Mihat :
Hizo Dawa mbili unachanganya ama
2024-12-19 13:10:59
3
nonoooo389
butterfly :
Mungu akutunze nimejifunza mengi katika hii page yako
2024-12-19 09:29:09
2
hzhyra
🦋 :
Dawa yake ni kumchinja na kumpika supu nzitooooo😋😋😋😋
2025-01-30 19:01:59
3
haplena
Haplena :
wanadonyoana hasa wakati anataga sasa akifinyolewa ndo inatengeneza kidonda ukichelewa kumuona wanamshambulia had kutoa utumbo mpaka kifo
2024-12-19 15:46:31
1
user8542867300344
Fredy Soka :
ebu kuweni wawazi mm nilikuwa na kuku zaidi ya 50 sasa hivi wamebaki watatu tu ila kuna mmoja analia mlio huo nimekuwa na kazi ya kulisha chakula
2025-02-26 14:00:24
1
kamal.raja80
❤️Kamal 🥀🇳🇵🥰 Raja 🥀👈 :
dawa rahisi mnjinje tu bas
2025-02-08 10:19:11
1
pleaseumoj1
Please :
mm mwez wa nane wamekufa kuku 103,ad nahis kuchoka,
2025-09-01 12:58:07
1
huseingau
Hg/Memory a/c :
nisaidie kuku wng amevimba sehem ya kuhifadhi chakula utadhan ni chakula lkn hakuna zaid ya uvimbe mkubwa
2024-12-25 09:08:34
2
odetharujaju4
Mrs.mashauri :
kabisa,mimi ni shahidi wa hili maana nilifanya hivo kwa kuku wangu now yuko fresh
2025-06-14 06:29:28
1
nestory.mnabi
Nestory Mnabi :
chukua amoxilin ungainly use wandani koroga mkamate mpatie utanishukuru kesho
2024-12-20 11:43:18
0
user725813220613
user725813220613 :
Shukran sana kwa shule mkuu
2024-12-20 17:48:40
0
haplena
Haplena :
mm nan kuku wa mayai wanang'atana kwa kutagia had kifo nmejtahd kuwapa madawa ila bdo haijasaidia cjajua nn shida
2024-12-19 15:41:36
1
user4592829106206
Aloyce :
kk Mimi kuku zangu wanakula mayai shida nn
2024-12-19 13:13:03
0
mariahconrad255
WAHIGE🦂 :
jmn mi wangu huwa nawamezesha amoxicillin na wanapona kabisa
2025-01-20 19:04:11
1
firstborn1991
SAEED, FIRST BORN :
twanga pili pili kichaa tunguu swaumu wachanganyie kwenye chakula au maji basi 2 days atakua poa
2025-01-26 09:55:54
1
silverbany
Silver :
ishu ni pilipili tu apo kwisha
2025-01-20 19:41:21
1
queen.faridah
🩵🩶queen faridah🌺🌸 :
Maskini mafua makali pole chicken 🐔
2024-12-21 18:33:07
1
To see more videos from user @agalusfarm, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About