@chomozatv: Mtumishi Wa Mungu Ev. Daniely Joshua Kutoka Huduma Ya RGC Ministry, Yenye Makao Makuu Goba Dar es salaam, Ameeleza Machache Juu Ya Maono Aliyopewa Na Mungu Kwa Habari Ya Kanisa La TAG. Akieleza Hayo Akiwa Arusha Kwa Mtume Mathayo Amesema "Kanisa Hilo Linatamani Kumtumikia Mungu Kwa Roho Na Kweli Lakini Wamewekewa Vipingamizi Vya Kidini. Watumishi Wamepunguzwa Mwendo Kutokana Na Tamaduni Na Taratibu Walizo Jiwekea Kama Kanisa Ambazo Sio Za Kimungu.....Sio Mungu Aliye Watuma Kuanzisha Taratibu Hizo Alisema Ev. Daniely Joshua Wapo Wachungaji Wengi Hawakutegemewa Kuondoka Kwenye Mfumo Wa Dini Hiyo Wataondoka Na Kila Atakae Sikia Atatetemeka." Mtu Wa Mungu Unamaoni Gani Juu Ya Ujumbe Huu Wakinabii Kwa Ev. Daniely #ChomozaUpdate #Chomozanews

chomozatv
chomozatv
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 23 December 2024 05:26:38 GMT
3888
93
4
23

Music

Download

Comments

user27252868684728
KONGONYOA MARKO :
Mungu awasaidie viongozi wetu wakumbuke ni wapi walipo anguka na waludi KUTUBU. vinginevyo kondoo tuko kwenye hatari sana
2026-05-29 05:34:02
0
allyally68121
Ally Ally :
amen
2025-10-15 15:35:20
0
davidjackson138
David Jackson :
Huu unabii Unatoka baada ya Maghembe Kuondoka
2024-12-23 08:45:58
0
noberth.kasindi
Noberth Kasindi :
👍
2026-02-12 13:13:29
0
To see more videos from user @chomozatv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About