@clipsviralstream: #charliekirk #debate #liberal #politicstiktok #charliekirkyelling #liberalgetsmad #abortion #fetus

Liberal_Sissies
Liberal_Sissies
Open In TikTok:
Region: US
Friday 27 December 2024 01:50:58 GMT
263324
6011
1023
368

Music

Download

Comments

matildasmuses5
matildasmuses :
She was 100% correct
2025-09-12 19:41:59
660
fere_kara
￴ ￴ ￴ ￴ ￴￴ ￴ ￴ ￴ ￴ ￴￴ ￴ ￴ ￴ ￴ :
He had a family. He had children. He had a wife. He had friends. He had fans. He had supporters. R.I.P. Michael Jackson🕊
2025-10-05 18:34:58
419
mandi8480
mandi :
Wow she is stupid
2024-12-27 16:41:02
281
tobiasf150
Namegoeshere :
I hope her future parasite is a tape worm…..
2024-12-27 16:31:31
298
sandrasalinas777
Sandra Salinas318 :
She’s an idiot
2024-12-28 16:44:11
19
staceysonder
Stacey :
This girl is demented
2024-12-27 08:22:36
171
bigguytpf
Bigguytpf :
What a sickening human being
2024-12-27 13:17:31
643
bigrub_47
Ruben Martinez Jr328 :
I can’t believe that they call a fetus a parasite. How stupid do you have to be to believe that?
2024-12-27 15:15:05
136
dontgetmad455
dontgetmad :
I would hate to have his job arguing with the dumbest of stupid shit on the planet.
2024-12-27 15:12:51
289
galloutoffuks
galloutoffuks :
Guess her mother didn’t classify her as a parasite
2024-12-27 08:42:55
206
yourfavoriteoutdoorsman
your favorite outdoorsman :
any woman who thinks this way they should be forced to have thier ovaries removed so they can't ever reproduce
2024-12-28 01:44:08
197
darkness9oh7
Darkness-907 :
Naw she’s a parasite.
2024-12-27 12:09:44
99
greenguygarcia
Brian Garcia :
She not wrong!
2025-09-19 13:22:58
35
flowerkimonocaptain
Flower_Kimono_Captain :
If insufferable was a woman
2024-12-27 12:05:11
48
brookslouky
brookslouky :
Tackle box face wants to throw stones.
2024-12-28 02:37:23
33
pbsilva7
Paul :
she definitely never needs children, delusional
2024-12-27 15:14:31
38
user4823638555976
user4823638555976 :
Her mom should have swallowed her
2024-12-27 20:46:34
55
smirf03
smirf03 :
She just described yourself
2024-12-27 21:24:27
15
vinrock65
Vinrock Da Rulah :
It’s at this point I hope and pray God chooses not to give her the gift of reproducing.
2024-12-27 15:38:17
29
greeneyedaffect
David :
A new study came out and said 7 in 10 liberal women are classified as mentally unwell. That demo has now passed liberal men as the least happy demo in America.
2024-12-27 21:24:44
18
michaelwilson5785
michaelwilson5785 :
I wonder if she looks at this as say I need NEVER to talk again or have Any children
2024-12-27 15:04:28
9
jobellaphia
jobellaphia :
DAFLC lol shes funny absolutely zero 🧠
2024-12-27 13:24:54
9
willtho69
Thomas Williams :
I want to hear the rest
2024-12-27 02:01:20
7
tree_tree95
Theresa Rodriguez :
Niether can a Newborn sooo, you’re either saying babies outside the womb are also parasites also or your argument is invalid ….yikes, get help. Life begins at conception
2024-12-28 16:24:05
0
rebelwolfnc24
RebelWolfNC :
She is pathetic
2024-12-27 17:21:47
4
To see more videos from user @clipsviralstream, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amewataka wakazi wa Mji wa Mbulu kuachana na tabia za ubinafsi na kuwakaribisha wawekezaji pamoja na wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali, akisema hali ya kuwafukuza au kuwakatisha tamaa wageni wanaotaka kuwekeza inakwamisha maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, RC Sendiga amesema pamoja na halmashauri hiyo kupata hati safi, bado inakabiliwa na changamoto za kiutendaji na maendeleo zinazohitaji kufanyiwa kazi. Amesema aliwahi kuelezwa kuwa moja ya sababu zinazokwamisha ukuaji wa Mji wa Mbulu ni mtazamo wa baadhi ya wananchi kutotaka watu wa nje kuja kuwekeza katika eneo hilo, jambo ambalo linazuia ujio wa mitaji, mawazo mapya na fursa za maendeleo. "Nanukuu nilivyoambiwa, Mkuu, Mara nyingi kukua kwa mji kunataka mchanganyiko wa watu wanaokuja na aidia mbalimbali wawekezaji, miradi mbalimbali ndio mji unakua, Mji wa Mbulu wamewahi kukusanyana wakakusanya hela wakamuondoa mfanyabiashara mkubwa Muhindi alikuwa pale, wanataka wakae peke yao, sasa kukaa peke yenu mji hauwezi kupata vitu vipya, wananiambia kama una roho ngumu ndio utakaa Mbulu lakini kama una roho nyepesi hukai kwa sababu watakufukuza tu.” Aidha, amewataka wananchi kuendana na dira ya maendeleo ya taifa inayolenga kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika kuchochea ukuaji wa uchumi, akisisitiza kuwa Serikali ina jukumu la kuweka sera, sheria na miongozo, huku utekelezaji mkubwa wa maendeleo ukitegemewa kufanywa na wawekezaji pamoja na sekta binafsi. “Mji unakua kwa kupokea watu mbalimbali wenye mawazo tofauti, wawekezaji na miradi ya maendeleo. Mkifukuza wenzenu mtapata wapi maendeleo? Acheni watu waje wawekeze ili Mbulu iwe kubwa na iweze kunufaika kiuchumi,” amesema RC Sendiga.

About