@kapo_farm: #poultryfarming #Kienyeji #kienyejichicken #kukufarmer #

Kapofarm/Ufugaji Kuku Kienyeji
Kapofarm/Ufugaji Kuku Kienyeji
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 29 December 2024 06:39:46 GMT
590266
6301
490
1148

Music

Download

Comments

mussaali688
mussaali688 :
nakataa hakuna kuku wa kienyeji wa wiki 2 na siku 3 wakiwa hali iyo, ao hawapungui mwezi na wiki moja, tangu lini kuku akaota mkia kwa wiki mbili,
2024-12-31 11:17:36
16
user1009975628424
Tilda Massao :
Mnapatikana wapi?
2025-02-11 17:26:05
0
florakituma
FLORA KITUMA :
Wanauzwaje?
2025-01-28 05:31:52
0
igwee531
Igwee :
mko wapi boss
2025-02-13 14:07:48
0
bekamande
bekamande :
naomba nifahamu na wapata wapp
2025-01-02 18:11:07
0
martha.francis74
Martha Francis :
nahitaji jmn
2025-01-05 15:01:12
0
azamorice
plati :
wapatikana wapi ndugu yangu nahitaj ku share mawazo
2026-01-22 13:54:04
0
scholarmoraa961
scholarmoraa961 :
3000,of tz is equal to 300/ Kenya shilling
2025-02-16 19:02:04
1
evelynkiama
evelyn kiama :
mnauzaje size hio pls??
2025-01-28 09:14:05
0
user7152106543561
Omari shabani :
bei gani broo
2025-01-07 18:19:57
0
user6112094276766
INJILI VIJIJINI NA MJINI🏇🚶🏃 :
Shingapi na uko wapi mimi niko Mbeya Mjini.
2024-12-30 11:31:56
1
vio.kanvir
Vio kanvir :
Sisi wakimaliza mwezi wanakufa wallah sijui kwann😭😭 unaweza nisaidia plz
2025-01-20 08:48:40
1
frank.nyika0
Frank Nyika :
bei gani
2025-01-02 15:18:25
0
user5433961448304
marry :
jmn napenda kufuga kuku lkn imekua ngumu sn vifaranga wanakufa
2025-03-22 11:43:32
2
reginagwalupogo
reginagwalupogo :
wangu wana miezi mitatu kasoro ndo wako hivo 😂😂
2025-02-12 18:58:55
1
last.ratan.tata
kea juma :
naomba njia jinsi gani ya kufuga mbinu na gharama ya banda linagharimu bei gani pamoja na chanjo
2025-01-24 06:51:27
0
akinyi1214
Akinyi :
tunakupataje tununuwe au ni kiki mtandaoni tukufollo🤣😂
2025-01-08 05:20:49
0
antonykiondo
Antony Kiondo :
kaka nimependa shamba lako je unazalisha vigaranga
2024-12-30 16:38:40
1
jembe384
jembe :
naomba kuweka oda
2025-01-06 10:49:15
0
eliaimtongakaale
Eliaimtonga Kaale :
mko wapi au tunapataje conta???
2025-01-02 09:49:24
0
kashakitalikaiinjesusit0
kashakitalika :
Mko Dar sehemu gani
2025-02-21 18:56:04
0
fridafreward
MUMY J&M :
daaa hongera mnoo napenda kufuga hivi naweza kuanza na vifaranga kama hao ndugu ?
2025-08-13 13:23:30
0
rabynzwala937
Raby Nzwala :
jamani wiki mbili umevipa nini vikakua gafra?
2025-03-11 04:52:06
0
brown.kalingabrow
Brown [email protected] :
navipataje hivo na ni bei gani
2025-02-13 11:18:29
0
user96238491274738
Azfer :
Vp washa pata chanjo zote au bado
2025-02-11 16:50:39
0
To see more videos from user @kapo_farm, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About