@apostle_lucas_fredy: Apostle Lucas fredy #YESUNIMUNGU #Kweliyakristo #injiliyakweli #titokinda #titokinda #fyp#titokuganda

Apostle Lucas Fredy
Apostle Lucas Fredy
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 05 January 2025 08:01:22 GMT
51791
763
697
214

Music

Download

Comments

user11639056659900
Samsoni Isaack mbwiliza :
kwahiyo kuna mungu wangap
2026-06-25 06:25:10
0
kijana_wayesu
Joseph :
KAMA NI Mkristu na hupokei kama yesu ni Mungu, au hauelewi kuhusu utatu mtakatifu ni bora ukaomba msaada ufundishwe, maana huo ndio msingi wa imani
2025-01-05 19:14:21
31
bishop.mkuu.flank
KRISTO GALILAYA TANZANIA :
upo sahihi shida watu hawapo kwa NENO bali wapo kwenye mapokeo ya wanadamu tangu mathayo Hadi ufunuo huoni mtu kabatizwa kwa uwo utatu bari petro paulo mitume walibatiza kwa jina la YESU KRISTO
2025-01-05 18:23:45
11
mslustone
Miss Lustone ♓️ :
Mungu baba Mungu mwana na Mungu roho mt, Wakolosai : 3 : 17 - Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.
2025-01-05 15:52:50
4
dianachrispin1
Diana :
AMEN
2025-03-09 18:21:41
0
stephenjoram
KINGSTEPHEN :
walikuja kama wetu lakini siwakwetu bado hatuja semaaaaa😆😆😆😆😆😆
2025-02-25 10:07:44
2
ayoubrobert397
Ayoub Robert :
upigwe kwa jina la Yesu, hufai hata nusu kwa maneno hayo kumbuka iko dhambi iliyo ya mauti
2025-01-06 19:57:49
1
chury1803chury
churychury :
EENH YESU WANGU..SHUKA SASA TUKAPUMZIKE MBINGUNI, DUNIA IMESHACHANGANYIKIWA HII😅😅😅
2025-01-06 16:37:06
1
philipo4791
philipo :
tunalifunga hili fundisho na wewe tunakufunga
2025-03-03 21:42:07
0
ministerjoshua255
Minister Joshua :
😳😳😳😳😳 ndio mwaka umeamzaa
2025-01-07 16:00:16
0
atukilumile
A2chriday 🫶 :
mmh nyakati za mwisho hizi jihadharini ,,,,maandiko yapo kugeuzwa hapa🙌🙌
2025-03-05 10:14:57
0
ntabago_jr
Justine Ntabago :
Uvivu tu wa kwenda shamba kulima😁😁😁😁
2025-03-04 10:37:39
0
abednegomageni
Abednego Mageni :
wafundishe haohao wavuta bangi wenzako.wanao fuga ndevu
2025-03-04 18:39:34
0
j0shy_tz
joshy_boy :
labda KUSEMA UN HOLLY TRINITY MPINGA KRISTO,NABII WA UONGO,NA SHETAN LABDA LAKIN
2025-02-22 05:32:21
1
dianachrispin1
Diana :
AMEN
2025-11-11 07:36:25
1
tongagi5
peter :
kuma ww
2026-06-04 18:23:51
0
nyotaramadhani1
nyotaramadhani1🇧🇮🇨🇩🇦🇺❤️ :
Mujinga sana wewe
2026-06-02 11:45:12
0
aa_mwilafi
AA_mwilafi :
Ndugu zangu, kwa mujibu wa imani ya Kikristo ninayoishikilia, fundisho la Utatu Mtakatifu ni mojawapo ya misingi muhimu ya kumjua Mungu. Tunaamini kwamba Mungu ni mmoja, kama ilivyoandikwa: “Sikia, Ee Israeli; Bwana, Mungu wetu, Bwana ndiye mmoja” (Kumbukumbu la Torati 6:4). Hata hivyo, Mungu huyo mmoja amejifunua kwetu kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Yesu Kristo alisema: “Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu” (Mathayo 28:19). Tunaona hapa umoja wa Mungu na wakati huo huo ufunuo wa Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Wakati Yesu alipobatizwa, Baba alizungumza kutoka mbinguni, Mwana alikuwa ndani ya maji, na Roho Mtakatifu alishuka kama hua (Mathayo 3:16-17). Hii inaonyesha utendaji wa Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu kwa wakati mmoja. Vivyo hivyo, mtume Paulo aliandika: “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote” (2 Wakorintho 13:14). Hapa tena tunaona Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu wakitajwa pamoja. Kwa msingi huo, ninaamini kwamba kumkataa Mwana ni kumkosa Baba pia, kwa sababu Maandiko yanasema: “Kila amkanaye Mwana hana Baba; yeye anayemkiri Mwana anaye Baba pia” (1 Yohana 2:23). Kwa hiyo, ninashikilia kwamba Mungu ni mmoja, lakini amejifunua kama Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Hii si miungu watatu, bali Mungu mmoja katika ufunuo wake kwa wanadamu. Ndiyo sababu ninaona fundisho hili kuwa muhimu sana katika imani ya Kikristo. Hata hivyo, tunapaswa kutetea tunachoamini kwa kutumia Neno la Mungu, hekima, upendo, na heshima, tukikumbuka kwamba hukumu ya mwisho ni ya Mungu mwenyewe.
2026-06-10 13:35:06
0
zoewayesu
zoematurlu :
UNAPIGA VITA UTATU MTAKATIFU??? HALAFU UNAMUHUBIRI YESU? Aliye Mwana Wa Mungu? 😅 Sielewi
2025-01-05 14:44:05
47
esster605
Esster :
😂😂😂 WEWE NI KICHAA KAMA HAKUNA UTATU MTAKATIFU TUAMBIE YESU NI. NANI? WW NDO UMETOKEA KUZIMU TUSHAKUSHTUKIA
2025-01-05 19:09:24
5
ilovechristdan
Ilovechrist :
😂😂😂 unajiita apostle sawa mtume, na utume wako ni ajenda ya mashetani fikiria
2025-01-05 20:20:20
5
innocentfelician1214
Innocent Felician :
Dhambi zote zaweza kusamehewa ispokua dhambi ya kumkufuru Roho mtakatifu
2025-02-17 13:24:07
5
astonwinston
Aston John Carter :
You got new followers 🙌🙌 Endelea kufundisha ukweli
2025-01-05 18:27:04
4
honestmushi0
The Power of Christ Ministery :
Apostle Lucas. ukowapi baba,tutafutane mimi ni Bishop Honest Mushi
2025-01-05 13:15:40
4
_msenegal_family
MSENEGAL FAMILY :
TUWE MAKINI WAKIRISTO SIO KILA TUNACHOFUNDISHWA NA APOSTLE NI SAWA WENGINE KAMA HAWA HAWAJUI WANACHOKIFANYA,,, YANI MTU ANASEMA NI AJENDA YA KUZIMU ALAFU HATUELEZEI NI KWANINI LENGO LAKE NI KUPINGA TU
2025-01-07 08:34:10
4
leubenbian5
Leuben Bian :
amen
2025-01-05 09:00:03
3
clintony450
😈 :
huyo jamaa mwingine anashida gan sasa anfnya mchungaj tusimsikie
2025-01-05 17:58:26
3
user4185044194534
user4185044194534 :
Makanisa yenye Mambo ya Utatu mtakatifu ni :- Yale Makanisa ya Kale km RC na KKKT nk. Husemi kitu kwao !!
2025-01-05 17:13:34
3
paulmafie
Paul Mafie :
Saitani.... Hivi mtu akishaweza kuvaa suti ya 70,000/ na sauti ya kukwaruza tu ni Apostle?
2025-01-05 16:35:07
3
kitomari94
Shedrack Kitomari :
Mtumishi kwanini ni agenda ya kuzimu? imeandikwa wapi? kindly enlighten me
2025-01-05 16:29:24
3
user14742491596754
BOANERGE Radi :
Mbwa akivaa suti na kunusanusa madhabahuni haimuondolei uumbwa wake, Unaitwa mbwa Lu...
2025-01-05 14:19:23
3
msemakweli50
HI WILL :
HIVI HUU UJASIRI UBAUTOA WAPI? NA ULUPASWA KUFAFANUA SIO KUPIGA MAKELELE TU
2025-01-05 12:30:58
3
gallus73
𝐆𝐚𝐥𝐥𝐮𝐬 :
Ifute Hii Kabla Hatma iliyo mbaya haijakufikia Kisha utubu. Ni Kwa wema tu there's no Jesus, God even Holly spirit 😭
2025-01-05 13:00:04
3
nguvuyaneno3
Revocatus sulle :
we hujielewi wapo watatu washuhudiao mbinguni we sijui muhubir wawapi af nahao washabiki wako wapembeni wambie kuanzia sasa hakuna msamaha marko 3:29
2025-01-05 20:56:30
2
happizoarts_
Happizo Arts🎖️ :
nilikuwa natafuta wahubiri Kama nyie.sisi Ni wale wa miaka ya 90 tulikuwaga tunahubiri kuhusu UMOJA wa MUNGU,na kuwaambia watu kweli ya Mungu kuhusu utatu Ni fundisho la kipagani,..Asante Yes
2025-01-05 22:34:59
2
j.kilimanjaro
kilimanjaro :
😂😂unao wasema ndio walianzisha dini sasa unatuhubiri nini kafanye kazi Acha ushenzi
2025-01-05 13:51:52
2
bahatiamandi
PROPHET JEREMIAH AMANDI :
amen mtumishi wa Mungu sema kweli ya kristo nakuunga mkono kabisa petro wali batiza kwa andiko hili matendo ya mitume 2:37:38
2025-01-05 16:17:56
2
bishop.mkuu.flank
KRISTO GALILAYA TANZANIA :
ukweli unapingika sana piga kazi kweli ni ajenda ya kusimu
2025-01-05 20:08:19
2
apostle_lucas_fredy
Apostle Lucas Fredy :
Hallelujah
2025-01-05 08:03:14
2
drkashmiri01
DrKashmiri :
jaman muda mwingine muwe mnatoa sadaka kwa wachungaji wenu uko cheki mtu koo limekauka hajanywa maji anakuja kuongea ujinga😏😏😏😏
2025-01-05 15:38:39
2
userzimbili
user zimbili :
afadhali wew roho kakufunulia hilo. mungu akusaidie upon saw
2025-01-05 17:14:26
2
kingstechnologies
KING'S TECHNOLOGIES :
na wewe ndiwe kuzimu yenyewe
2025-01-05 15:37:44
2
nicodemussylveste
Nicodemus Sylvester :
je! na wanaoitikia amina wanajitambua kweli?
2025-01-06 04:34:25
2
evangelist0618343083
EV Nchunga Gideon 🇹🇿🫂 :
mtumishi balikiwa
2025-01-05 23:56:03
1
happizoarts_
Happizo Arts🎖️ :
samahani nyie Ni watu wa UMOJA wa MUNGU...na mnapatikana wapi? daah nimefurahi kuwasikia...mnaongelea hili
2025-01-05 22:36:39
1
hezronssylvester
Sylvester :
Ingefaa zaidi kama ungetupa ushahidi wa kimaandiko hasa ya biblia takatifu siyo maneno yako tu
2025-01-05 21:42:46
1
dr_herry
DR HERRY NA UZAZI :
embu rud kitabu chako Cha mwanzo kabisa "natumfanye mtu kwa mfano wetu?" ukisoma hii sentesi maana walikua wanaongea watu zaidi ya mmoja Mungu baba,mwana, na roho sasa wewe sijuh umetokea wapi?l😂
2025-01-05 20:34:10
1
josephkazembe358
mr vision :
😂😂😂😂😂yaani yeye mwenyewe ajui kama ni mpinga kristo maana yesu mwenyewe ni sehemu ya huo utatu, Huwaga yanazuka hayana ata baba wa kiroho haya
2025-01-05 20:15:03
1
meshackmakamba
meshackmakamba :
zijaribuni hizo roho muone kama zinatoka a na mungu,,,, huyu ni wa kuzim tumemtambua kwa matunda yake
2025-01-05 20:06:51
1
mlimwengu37633829610652
Poul05 :
yaan wabongp kila kitu amen daah
2025-01-05 20:05:30
1
user6390273561819
Mmasue :
huyo ni mfuasi wa shetani amekuja kuwavuruga watu ili watakapokubaliane nae kuzimu ipate wafuasi wakwenda motoni. SIDANGANYIKI NG'OOOOOOO
2025-03-27 13:12:59
1
gospelcorner.vibe
gospelcorner.vibe :
usipige kelele naomba post ya hilo andiko, usilishe watu mawazo yako
2025-03-28 13:50:50
1
user9141856518726
Bwende :
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2025-01-19 11:43:18
1
orinalmkushi
orinalmkushi :
Huyu katumwa kutoka kuzimu wapo wengi hawa😠😠😠
2025-02-17 03:50:47
1
joash.sospeter
Joash Sospeter :
kuna haja ya serikali kufungia makanisa ambao wachungaji wao wanapayuka payuka hovyohovyo bila degree ya theolojia
2025-01-17 11:13:50
1
husenibakari737
Zgreat 🧳 :
huyu Sasa kwel mchungaji🥺
2025-01-10 00:16:46
1
juzanki
JUZANKI :
Nafurahi Kwa sababu ikiwa Kwa hila au Kwa haki,Chuki,fitina nachojua Injili itahubiriwa tu .lakini ole wake yeye apotoshae neno la mungu Kwa Nia yake mwenye.
2025-01-09 14:18:48
1
francis_1616
APOSTLE FRANCIS :
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU
2025-01-09 10:57:27
1
daudi_7
Daudi :
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
2025-01-08 21:21:56
1
To see more videos from user @apostle_lucas_fredy, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About