MBN Mimi nayatumia hay mafuta huu mwaka wa nne na niko vizuri tu sijahalibika wewe utakuwa ulichanganya na maji yake ndio maan yamekupa ulichositahili kupewa🤣🤣
2025-01-15 07:19:07
6
Pam j :
kwa walio tumia Pawpaw 🤣🤣🤣🤣 tujuane aki natamani kurudishwa tumboni nizaliwe upya🤣🤣🤣
2025-01-14 17:04:13
9
baby girl :
mbon mm naitumia na Niko poa
2025-01-14 17:59:52
4
chilo :
mbona me nayatumia yananing'arisha vizur na sijaweka maji yake. naitumia yenyewe km yenyew
2025-01-14 18:36:17
0
rehema gunda :
ayafai Kwa mtu mweupe
2025-01-14 13:57:33
0
To see more videos from user @azepa_cosmetics.tz, please go to the Tikwm
homepage.