kasoma kwa pesa ya wananchi analipwa mshahara kwakodi za wananchi mazingira yakazi yameandaliwa kwa kodi za wananchi bado kumfata amsaidie amlipe pia!
2025-01-22 13:54:32
6
Rehema Rehema :
yqni wangetokea wabunge.wengine kama huyu nchi ingeendelea sana
2025-01-18 22:12:23
10
king 👑nasri :
kwann uyu mze asigombee urais tutakua nyuma yake bega kwa bega 🔥🔥mze uku mtaani tunakuelewa san
2025-01-24 05:20:27
5
kaditha :
fact kwanini hatubadiliki sio hospital tu bali kwa kila sehem inayohusiana na serikali tubadilike watumishi wa serikali hii itatufikisha sehemu sahihi sisi na vizazi vyetu wapendwa
2025-01-18 21:57:48
3
Nickolaswaledy :
kama unamkubali uyu mbunge gonga laiki apo
2025-01-22 04:56:03
4
erickmkwetu :
😭😭😭 mwamba akiongea ni point tupu hadi inatia hurumaaa
2025-02-06 21:03:28
1
mbonde :
uyu mzee level yake alitakiwa awe rais wa hii nchi
2025-01-25 15:50:39
3
Meridian Boy :
wengi wetu tz atuna thinking capacity tunaendeshwa endeshwa kwa kuofia kufa
2025-01-22 04:12:41
2
Tanzania yetu 🇹🇿 :
@Tanzania yetu 🇹🇿:account yetu ya kwanza ya tanzania yetu iliibiwa natumia hii sasa hiv@Tanzania yetu 🇹🇿
2025-01-20 16:15:45
2
Jozzey TECH :
daa kweli ase
2025-01-19 05:37:48
2
mjomb @ kassim :
bora utusaidie. kusema maan tushachoka kusem
2025-01-27 02:08:52
1
Rama vyombo :
hata hawakuelewi
2025-01-25 07:02:49
1
Jafar Said283 :
hakyamung kumbe wanyonge tunakumbukw japo na wachache 😭😭
2025-01-21 04:53:26
1
janety :
jaman kumuona daktari nikubwa kulioko matibabu yenyewe
2025-01-19 13:48:16
1
madege@sw :
ni viongozi wachache ambao wakipat uongozi wanakumbuka walowachagua inalillah wainaillah rajighuni
2025-02-11 19:27:01
0
Haji Nassor :
Mhe Kishamba mbunge wetu wa kahama hakika wewe ni mtetezi wa wanyonge wa Tanzania
2025-02-10 15:38:07
0
_Kiboko :
walimsikiliza wakagonga meza na ikaishia hapo😂😂hii ndo tz
2025-02-10 10:23:30
0
John katoto :
kwkwel 20000
2025-02-10 05:13:41
0
monicasenga marwa :
Tuna hali mbaya mno. nauli ya daladala kubwa mno hata mikoani😭
2025-02-09 18:48:26
0
monicasenga marwa :
Mzee Mungu akutunze..🤣
2025-02-09 18:47:09
0
mwinulilefamily :
duuh😭😭
2025-02-09 05:03:25
0
Peter Sawa :
Hili linafikirisha sana,halifai hata kidogo
2025-02-08 08:11:56
0
Jin shi Tours and Safari :
SEMA nimeamimi kufika sio akili/hekima..huyu mzee Huwa anaongea taratibu lakini maneno Yale lazima utulie. kichwa sana huyu mzee
2025-02-07 21:05:42
0
anice :
Tena elfu ishirini
2025-02-06 17:11:11
0
gervas shao :
Ila hii nch 😏😏
2025-02-05 20:20:35
0
To see more videos from user @welcome_usa_, please go to the Tikwm
homepage.