Ukiona utopolo kashinda,ujue anacheza na tawi lake🤣🤣🤣
2025-02-10 19:03:17
49
$Far& :
wanao sema yanga hata matokeo ya kupata sare wamebebwa leo pia
2025-02-10 19:51:30
29
Zuhura Said :
masau bwile siwezi ishi bira wewe😂😂😂😂😂
2025-02-10 18:51:58
14
Amon J. :
sema kimewalamba utopwenga..😂😂😂
2025-02-10 19:26:29
16
jozuu :
ila uwanja ukwel usemwe ni mzuri hongereni sana
2025-02-10 19:40:28
14
{™six by 4} :
Leo bahasha haikutembea🤣
2025-02-10 20:07:47
11
sevel manyanya :
ongea ni wakati wa kuongea hongera J K T
2025-02-10 19:45:38
9
Come Mbwelwa :
we ni kama dunduka tu ungecheza mechi zako hivo ungekuwa nafasi ya Tatu lakini kwa sababu kombe lako ni kumzuia yanga au simba
2025-02-10 19:07:53
9
@joy_pharmas :
kayoko hajachezesha leo,
2025-02-10 20:37:42
6
DAVIDO WA TANGA :
masaubwireee
2025-02-10 20:04:09
6
user4127483129375 :
🥰🥰🥰🥰🥰 saf sanaaaaa
2025-02-10 18:53:31
6
furaha :
yani nawapogeza jkt
2025-02-10 20:32:24
5
P ZE BOY 407 :
Yanga ni kenge 2 ko zimeshangaa uwanja? Hawa bora walitoka kimataifa wangeenda kutuaibisha wangeenda moroco
2025-02-10 20:25:49
5
Hussein Miraji Khaji :
kwani ulijenga wewe kwa hela zako?
2025-02-10 19:44:11
5
GloriaMoses :
Yanga watajuta msemaji ana mdomo CEO ana mdomo
2025-02-10 19:41:15
5
Omaryjuliasntenga Julias :
sikio limezidi kichwa
2025-02-10 19:01:34
7
plascidor :
Uwanja wa jeshi unasifa zifuatazo, 1)huwezi kuingiza kamati za ufundi. 2)sehemu ya kuchomea sindano wachezaji wao kuna ma MP Kama wote..yaani full ulinzi hapo utopolo anatokaje🤣🤣🤣
2025-02-10 20:37:48
4
user5075747939397 :
wafanya biashara ninyi hamuuzi
2025-02-10 20:30:37
4
Ashkar Nurdin :
ushindi wenu droo mnaongea sana mngeshinda si mngekunya kabisa mzee badiliken basi chezen mpira
2025-02-10 20:16:47
4
official b.sayun :
🤣🤣🤣tupo pamoja na ww hadi wacheze kipindi cha tatu
2025-02-10 19:56:56
4
jm :
upewe maua yako kwa kumuzibiti utopolo
2025-02-10 22:05:46
3
Stela Martin :
mko vizuri sana😂🤣🤣🤣
2025-02-10 21:30:38
3
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm
homepage.